Walaio pata Div 1 wanaenda wapi baadae? Hawa wa Zero wakikomaaa watakuja kuajiri wenzao wa Div 1Yaan zero zaidi ya 100..yaan miaka 4 yote kapa aiseeView attachment 2499069View attachment 2499070
kwani waliokua wanapata zero miaka yote walikua wanakwenda wapi ?!Yaan zero zaidi ya 100..yaan miaka 4 yote kapa aiseeView attachment 2499069View attachment 2499070
Kwahiyo mwenye "D" zote na "C" mbili atleast akapata division 4 ya point 26 ambayo anaweza kwenda chuo au kusoma kidato cha tano (5) huku ana-reseat ni sawa na wenye "F" zote?! 😳 we vipi?!Hata aliyepata 4 ana utofauti gani na 0? Aaaaah
Na ana advantage ya Kusoma vyuo au akarudia shule na akafanikiwa kufika mbali kielimu maishaniAnapata cheti at least
Aim ya Hayati baba wa taifa haikuwa hii ila siku hizi VETA ndo kimbilio la waliofeli shuleVeta
Usiingize Ujinga kwenye Discussion zenye mantiki. Huyo Diamond wako ana secret zake zilizomfanya afike pale... usipende kudanganyika na kuhadaika na mafanikio ya watu usiowajua kiundani. Fikiri kama mwanaume mwenye akili timamu. Shauri yako!Kwan Diamond ana division ngap
Binafsi Kila siku nazidi kuing'amua akili yako... we jamaa una matatizo... LIKUD hebu mfatilie huyu nafkiri ni GENTA mwingine... hanaga akili kabisa huyu jamaa 🤔Division 4 ni 0 pia
Hao ndo madada poa
Ndo wadangaji
Ndo machinga
Ndo boda boda
Ndo wapiga debe
Ndo wafanya biashara
tofauti ipo nduguHata aliyepata 4 ana utofauti gani na 0? Aaaaah