Wanafunzi Chuo Kikuu Mlimani Wanaenda Twisheni

Jaman,penye ukweli tukiri 2.ni kweli kuna pindi la accounting huwa linapigwa mitaa ya changanyikeni,na hii imetokana na tabia ya malecture wa hapa ud kufundisha harakaharaka pasipo kujali kama watu wameelewa au laah na at the same time wanatutishia eti lazima mwaka huu wadake watu idadi ya shato 10 za mabibo na 7 za cumpus,so wanafunz wanaona best option ya kutokukamatwa ni kwenda kupigishwa mapindi huko mitaani.
 
Kuna taarifa kwamba imekuwa tabia kwa wanafunzi wa chuo kikuu mlimani kusoma tuition kitu ambacho ni nadra sana kukiona chuo kikuu. Nasikia mmoja wa walimu anaitwa Touwa, ati anafundisha account. Uuh! Ushamba wangu huu.

Wengi watakuzonga sana kwa hoja yako hii, lakini ukweli utabaki pale pale kwamba wanaokuzonga wao ndo washamba. Chuo Kikuu sio sehemu ya kufanya tution, kama mtu hawezi kutumia library, group discussion na consultation basi sasa mtu huyo ata akisoma itamsaidia nini? Ataomba hata kwenye interview afanyiwe tuition kidogo ndo ajibu maswali. Tusiige mambo ya Kampala University tukayaleta hapa!
 
Jaman,penye ukweli tukiri 2.ni kweli kuna pindi la accounting huwa linapigwa mitaa ya changanyikeni,na hii imetokana na tabia ya malecture wa hapa ud kufundisha harakaharaka pasipo kujali kama watu wameelewa au laah na at the same time wanatutishia eti lazima mwaka huu wadake watu idadi ya shato 10 za mabibo na 7 za cumpus,so wanafunz wanaona best option ya kutokukamatwa ni kwenda kupigishwa mapindi huko mitaani.

safi sana kwa kuwa mkweli! Mi nawasapoti, imagine umepiga comb ya bila ECA na B/Keeping hujuigusa O'level. Frank Wood 1 unaimaliza ndani ya semester! Ni haki! I support them
 
Neno Tuition hapo ndio tatizo. mtoa mada amelitoa kwa tafsiri ya miataani. neno hili lia maana pana kwa maana hata ada ya masomo chuoni huitwa "tuition fee".Tuition ikitumika kwa maana yake halisi ina tatizo gani? au ni mpango wa vyuo kudharauliana?
 
Neno Tuition hapo ndio tatizo. mtoa mada amelitoa kwa tafsiri ya miataani. neno hili lia maana pana kwa maana hata ada ya masomo chuoni huitwa "tuition fee".Tuition ikitumika kwa maana yake halisi ina tatizo gani? au ni mpango wa vyuo kudharauliana?

your too political, its out of the formal system
 
kwel tunaupeo mdogo sana wa kufikiri,mi nilidhan tungesifu,mlitaka kuskia au kuona kuwa wanafunzi wa udsm wanajiuza?cha ajabu hapo n kipi?u hv 2 know dt difnt places,difnt content!!!,..kumbuka pia mama atabaki kua mama tu hata kama atakua kichaaa..Much respect kwa wote wanaojitambua,na wanaothamin mchango Wa TUTION, cz bila tution wengine sidhan kama tungefika hapa.....Naheshim sana chuo changu Udsm,na vyuo vngine pia,tuache majungu ya kidwanzi!
 
kwel tunaupeo mdogo sana wa kufikiri,mi nilidhan tungesifu,mlitaka kuskia au kuona kuwa wanafunzi wa udsm wanajiuza?cha ajabu hapo n kipi?u hv 2 know dt difnt places,difnt content!!!,..kumbuka pia mama atabaki kua mama tu hata kama atakua kichaaa..Much respect kwa wote wanaojitambua,na wanaothamin mchango Wa TUTION, cz bila tution wengine sidhan kama tungefika hapa.....Naheshim sana chuo changu Udsm,na vyuo vngine pia,tuache majungu ya kidwanzi!

haya yako ndo majungu. Whats your take? Skeptic or optimistic?
 
Mtoa mada amepotosha sana kwa sababu haelewi utaratibu unaotumika vyuo vikuu:
KUNA KITU KINAITWA "CONSULTATION" kwa mtu asiyeelewa atasema ni tuision kwa
vile hizi ni sessions ambazo mwanafunzi anatafuta taarifa za ziada kuhusiana na masomo/somo au mambo ya kijamii.
Consultation inaweza ikatolewa free au ikalipiwa.
mfano mzuri ni kwa PostGraduate students hasa kwenye component ya Research (mfano wapo watu ambao wanatoa huduma za kuandaa proposal, data processing etc). katika taasisi hizi haya mambo ni ya kawaida na yapo kwa mjibu wa taratibu.
iieleweke kuwa Mhadhiri anakazi kuu tatu: Lecturing, Publication, na Consultation.
So msipotoshe umma, hata maprofessor wanafanya consultation. kwani expertism inaheshimika sana katika higher learning institutions!
Futeni Ujinga!


Kwa hiyo mleta hoja yupo sahihi, japo amekashifiwa sana.
Mjadala umekwisha.
 
Mtoa mada amepotosha sana kwa sababu haelewi utaratibu unaotumika vyuo vikuu:
KUNA KITU KINAITWA "CONSULTATION" kwa mtu asiyeelewa atasema ni tuision kwa
vile hizi ni sessions ambazo mwanafunzi anatafuta taarifa za ziada kuhusiana na masomo/somo au mambo ya kijamii.
Consultation inaweza ikatolewa free au ikalipiwa.
mfano mzuri ni kwa PostGraduate students hasa kwenye component ya Research (mfano wapo watu ambao wanatoa huduma za kuandaa proposal, data processing etc). katika taasisi hizi haya mambo ni ya kawaida na yapo kwa mjibu wa taratibu.
iieleweke kuwa Mhadhiri anakazi kuu tatu: Lecturing, Publication, na Consultation.
So msipotoshe umma, hata maprofessor wanafanya consultation. kwani expertism inaheshimika sana katika higher learning institutions!
Futeni Ujinga!

Jamani TATIZO ni mtu kwenda Tution au?kwel ukakimbizana na kichaa nawe pia utaonekana kichaa,,..Tujiulize kua wanafuata k2 gan huko?kama ni Kusoma bas wanastahl pongez kama n mambo mengine yasiyokua ya kitaaluma bas tuwalaumu..
 
Zamani nilikuwa nashabikia sana tuisheni kwa wanafunzi wote, lakini sasa hivi ninaamini kuwa tuisheni inadumaza uwezo wa wanafunzi kufikiri kwa vile huwa zinawaandaa katika kukabiliana na mitihani badala ya kuwandaa kutumia bongo zao. Ingawa bado ninakubaliana na dhana ya tuisheni kwa shule za msingi, mradi tu tuisheni hiyo isitolewe na mwalimu aliyeajiliwa na serikali kufundisha shule anayoahudhuria mwanafunzi huyo, sikubaliani kabisa na wazo la tuisheni kwa shule zote za kati na vyuo vya elimu ya juu kwa vile elimu katika taasisi hizi inatakiwa isiwe ya kumwandaa mwanafunzi kushinda mtihani bali inatakiwa iwaandae wanafunzi waweze kutumia akili zao kutatua matatizo yanayojitokeza mbele yao. Mitihani ya kiwango hicho inatakiwa pia iwe ya kuwapima wanafunzi kwa uwezo huo siyo namna wanavyokumbuka waliyofundishwa darasani.
 
Jamani ngoja mi niweke sawa hii maana ya "TUITION FEE" kwa muktadha wa chuoni, kwani wengi wenu mmekuwa mkiconfuse!kwanza tuanze na maana ya TUITION yenyewe ambayo ni MASOMO YA ZIADA kwaiyo tukiongezea na FEE maana itakuwa ni ADA YA MASOMO YA ZIADA,sasa kwann pesa inayolipwa chuoni iitwe TUITION FEE?jibu ni kuwa masomo yanayosomeshwa chuoni na wahadhiri(lectures)ni ziada tu ya asilimia ndogo ambayo ni 25% ya kile ambacho wewe km mwanafunzi unapaswa kukitafuta mwenyewe kupitia njia mbali mbali ikiwemo matumizi sahihi ya maktaba,mitandao nk.ambayo hii ni asilimia 75%ya masomo yako.Kwa iyo hapa kwa haraka haraka utaona kuwa kile ambacho tunapewa ktk kipindi cha uhadhiri(lectures)ni ziada tu ya kile tunachopaswa kujitafutia wenyewe!na hii ni kwa sababu tu wahadhiri hawafundishi bali wanaelekeza tu(they are not teachers but instructors) na wana kanuni(principle)yao inayosema "WE DIRECT YOU WHERE TO FIND WHAT".Hivi ndivo chuo kikuu kilivyo hakuna mteremko(spoonfeed).Kwa hiyo wadau tupigeni msuli tu haina haja ya kubishana wala nn,na km una access na iyo kichochorosm tuition we nenda tu cos ni moja kati ya njia ya kujitafutia iyo 75% ambayo unapaswa kuipata kwa jitihada zako binafsi.Wasalam
 
Zamani nilikuwa nashabikia sana tuisheni kwa wanafunzi wote, lakini sasa hivi ninaamini kuwa tuisheni inadumaza uwezo wa wanafunzi kufikiri kwa vile huwa zinawaandaa katika kukabiliana na mitihani badala ya kuwandaa kutumia bongo zao. Ingawa bado ninakubaliana na dhana ya tuisheni kwa shule za msingi, mradi tu tuisheni hiyo isitolewe na mwalimu aliyeajiliwa na serikali kufundisha shule anayoahudhuria mwanafunzi huyo, sikubaliani kabisa na wazo la tuisheni kwa shule zote za kati na vyuo vya elimu ya juu kwa vile elimu katika taasisi hizi inatakiwa isiwe ya kumwandaa mwanafunzi kushinda mtihani bali inatakiwa iwaandae wanafunzi waweze kutumia akili zao kutatua matatizo yanayojitokeza mbele yao. Mitihani ya kiwango hicho inatakiwa pia iwe ya kuwapima wanafunzi kwa uwezo huo siyo namna wanavyokumbuka waliyofundishwa darasani.

exactly mkuu! Mi nadhani kwa kwenda nje kuna lecturer wa somo asiye mzuri! Lets call a spade, spade
 
Jamani ngoja mi niweke sawa hii maana ya "TUITION FEE" kwa muktadha wa chuoni, kwani wengi wenu mmekuwa mkiconfuse!kwanza tuanze na maana ya TUITION yenyewe ambayo ni MASOMO YA ZIADA kwaiyo tukiongezea na FEE maana itakuwa ni ADA YA MASOMO YA ZIADA,sasa kwann pesa inayolipwa chuoni iitwe TUITION FEE?jibu ni kuwa masomo yanayosomeshwa chuoni na wahadhiri(lectures)ni ziada tu ya asilimia ndogo ambayo ni 25% ya kile ambacho wewe km mwanafunzi unapaswa kukitafuta mwenyewe kupitia njia mbali mbali ikiwemo matumizi sahihi ya maktaba,mitandao nk.ambayo hii ni asilimia 75%ya masomo yako.Kwa iyo hapa kwa haraka haraka utaona kuwa kile ambacho tunapewa ktk kipindi cha uhadhiri(lectures)ni ziada tu ya kile tunachopaswa kujitafutia wenyewe!na hii ni kwa sababu tu wahadhiri hawafundishi bali wanaelekeza tu(they are not teachers but instructors) na wana kanuni(principle)yao inayosema "WE DIRECT YOU WHERE TO FIND WHAT".Hivi ndivo chuo kikuu kilivyo hakuna mteremko(spoonfeed).Kwa hiyo wadau tupigeni msuli tu haina haja ya kubishana wala nn,na km una access na iyo kichochorosm tuition we nenda tu cos ni moja kati ya njia ya kujitafutia iyo 75% ambayo unapaswa kuipata kwa jitihada zako binafsi.Wasalam

i support you too! Usisahau 'ubabe' wa professors na doctors ndo unachangia
 
yap...hii mbona ni kitu cha kawaida wakati kozi kama za
1.computer engineering
2.computer science na IT

wana special kozi ambazo ni ccna,oracle database,java certifications ambazo hazifundishi chuoni...
 
yap...hii mbona ni kitu cha kawaida wakati kozi kama za
1.computer engineering
2.computer science na IT

wana special kozi ambazo ni ccna,oracle database,java certifications ambazo hazifundishi chuoni...

mkuu wao wanafundishwa chuo na walimu wapo.
 
hawa wanaobisha ndio waliosoma political science hawajuii hii mambo!
kuna kitu cha financial report na management accounting
usipopiga pindi changanyikeni lazima urudi supp
sasa mnachobisha kitu gani! wakati cpa tuition vichochoroni magraduate kibao wamejazana huko
Wakubali wachekwe hapo ni kukomaa tu mwanzo mwisho hadi kieleweke...
 
Back
Top Bottom