Wanadata na miguu yangu loh

Smile

JF-Expert Member
Jul 18, 2011
15,347
11,610
KIJANA Carl Griffiths, 19, (pichani) ndiye mwanaume mwenye miguu mirefu duniani. Kituko ni kwamba anatumia ukubwa wa miguu yake kunasa wanawake. Carl, raia wa Uingereza, amesema kuwa mpaka sasa ameshatoka kimapenzi na wanawake 30 ambao walidata kwake kutokana na urefu wa miguu yake. Amesema kuwa wanawake wengi wanavutiwa naye kwa kuamini kwamba ana kitu cha ziada kwenye mapenzi kutokana na ukubwa wa miguu yake
 
attachment.php
KIJANA Carl Griffiths, 19, (pichani) ndiye mwanaume mwenye miguu mirefu duniani. Kituko ni kwamba anatumia ukubwa wa miguu yake kunasa wanawake. Carl, raia wa Uingereza, amesema kuwa mpaka sasa ameshatoka kimapenzi na wanawake 30 ambao walidata kwake kutokana na urefu wa miguu yake. Amesema kuwa wanawake wengi wanavutiwa naye kwa kuamini kwamba ana kitu cha ziada kwenye mapenzi kutokana na ukubwa wa miguu yake
 
Kumbe mzungu!!
Afu ungesema wanadata na makanyagio yangu sio miguu.
mi mbongo ....nina makanyagio zaidi ya hayo!! mbona totoz zinaniogopa? wanadhani na rejao atakuwa kama hayo makanyagio!!
 
mi mbongo ....nina makanyagio zaidi ya hayo!! Mbona totoz zinaniogopa? Wanadhani na rejao atakuwa kama hayo makanyagio!!
totoz za bongo zinaangalia wallet eti sio kanyagio hata wao wanazo loh?
 
Back
Top Bottom