dodoso33
Member
- Oct 9, 2012
- 38
- 11
kwa kweli kuweni makini na vitu vyenu hasa hasa LAPTOP NA ATM CARD ZENU kwa kweli chuo watu ni wezi wakupindukie wengne ni watoto wa matajiri bt mtoto anakuwa na hulka ya wizi sasa hapo kuweni makini hasa hasa wale 1st year punguza mbwembwe acha laptop yako nyumba soma mazingra kwanza ndio uje nayo mpaka dakika hii nayo kuambia nipo chuoni LAPTOP 9 tayari zimeshaibiwa
ushauri kuwa makini na laptop na atm card yako
ushauri kuwa makini na laptop na atm card yako