Sinai
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 288
- 47
Hali ya hewa mjini Dodoma imebadilika, wanachuo wa vyuo karibu vyote wamefungua na hivi sasa wamejaza guest house zote za hapa mjini, yani ni mwendo wa wawili wawili (Pairs) tu, eti wanadai kila mtu alim-miss mwenzake lol! Kwa wenye myumba za kulala wageni umefika wakati wa kuvuna, maana wapo wa short time na wale wa kukeshea kabisaa! Kwa hali ilivyo, sijui kama vita zidi ya UKIMWI inaweza kushinda!