Wanachuo wangu wananitega

Usipokula wenzako wala.



Kula mkuu maisha ni hayahaya.
 
duh!!! wewe nadhani sio mualimu kitaluma hat a hufai kuwa ktka tasinia hiya,mualimu ni mzazi mzazi hawezi kutamani watoto wake.paka uwandike uzi kamahuu wewe umevamia professional ya watu bhana neenda ukatafute kazi enao kufaa!!!!!
 
Utakapo disco ndio utapata akili... nadhan hujatambua ni nini umefuata chuoni
 
We jamaa siumesema mademu wanakukacha kisa huna doo!? Kwamba unaenda Msumbiji kuchimba ruby na ukiwa na pesa utakuwa boss na watakukoma!?

Ghafla umeshakuwa lecturer?

Sio wewe kweli? Au nimefananisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…