awe tall, awe ana exposure, awe kyut, awe anajua kuvaa, awe anajua game na pesa za kunilelea.
Mi awe na kitambi, kipara na alafu mfupiiiii...... Hapo nakufa kabisa yeuuwi!!
Mi kucha za miguuni,nywele za kipilipili,na masikio madogo
mwanaume awe mrefu kwanza, mtanashati asiwe mwembamba sana
mhh! Pesa za kukulealea,malezi yapi?kula,kulala,na kuvaa tu? Au na pesa ya gari pia.ggggrrrrh,mnapenda pesa nyie.mwee
Well said n good to have u back AshaDii!
Mi namtaka YEYE tu.
Mi namtaka YEYE tu.