KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nimeishia kati kanamaliza bandle yangu kajinga kanatafuta udc njaa inakasumbuaUkimsikiliza huyu kijana mpaka mwisho hauna akili
Nimeishia kati kanamaliza bandle yangu kajinga kanatafuta udc njaa inakasumbuaUkimsikiliza huyu kijana mpaka mwisho hauna akili
Anaigiza anayoyaongea!..sina tatizo na vijana kumpa support mwenyekiti wao wa chama.
..lakini nadhani huyu kijana amekwenda mbali kidogo.
..anazungumza kama mtu aliyejitoa ufahamu.
..sijui elimu yake ni ndogo au ndiyo ameshiba propaganda.
..kwa kawaida vijana wa umri mzungumzaji kwenye video hupenda sana kuhoji na kuchambua masuala mbalimbali na siyo kumeza kila anachopewa kama inavyoonyesha kwa huyu kijana.
..kama vijana walio wengi upeo wao wa kufikiri ni kama huyu mzungumzaji kwenye video, maana yake ni kwamba Tanzania ina wazee wengi kuliko vijana.
Ukimsikiliza huyu kijana mpaka mwisho hauna akili
Mkuu siyo pesa... Nadhani ni uelewa wa mtu na akili kichwani.... Nakumbuka kipindi cha uchaguzi mwaka 2015 nilikuwa upande wa ukawa na sijawahi kuwakubali sisiem... Nikiwa chuoni tulikuwa tunamaliza masomo... Na ilipofika kipindi cha kampeni unakumbuka pesa zilivyokuwa zinagawiwa kama nini... Pamoja na njaa zangu ilikuwa ni mara mia nishinde njaa kuliko kuwa upande wa ccm.. Wenzangu walipiga pesa na kumbuka jimbo la ubungo masaburi (apumzike kwa amani) alikuwa anagawa pesa vijana wengi wa vyuo wakapiga pesa kuanzia kwenye kura za maoni hadi kwenye uchaguzi wenyewe...Mkuu pesa ni kila kitu,ukiwa ukijani unakuwa na power na POSHO kibao.Ili kuzitetea posho hizo LAZIMA UJITOE AKILI
..sijui elimu yake ni ndogo au ndiyo ameshiba propaganda.
..kwa kawaida vijana wa umri mzungumzaji kwenye video hupenda sana kuhoji na kuchambua masuala mbalimbali na siyo kumeza kila anachopewa kama inavyoonyesha kwa huyu kijana.
..kama vijana walio wengi upeo wao wa kufikiri ni kama huyu mzungumzaji kwenye video, maana yake ni kwamba Tanzania ina wazee wengi kuliko vijana.