UVCCM kuna kasoro

aleesha

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
776
1,121
Naamini kila Mtanzania ana haki ya kuhoji mustakabali wa maendeleo ya kila nyanja katika nchi yetu ya Tanzania.

Kwa mfano: suala la Bandari hivi sasa linazungumzwa karibu na kila Mtanzania,wapo wanaokosoa na wapo ambao wanaona ni sawa Tanzania inahitaji kuingia ubia na Kampuni husika.

Kuna mijadala mingi sana Mitandaoni ambayo inaendelea, lakini nataka niongee kwa upande wa UVCCM ambao ni vijana wa chama cha Mapinduzi.

Hawa vijana baadhi yao wamekuwa vinara kwenye kuzungumza juu ya uhalali wa Tanzania kuingia makubaliano na kampuni ya DP World.

Kwanza,naomba niseme sio kosa kwa vijana wa UVCCM kuunga mkono hata kidogo!

Lakini cha kushangaza ni pale ambapo wanaposhindwa kuieleza jamii manufaa ya kuingia ubia na kampuni hiyo,badala ya kujenga hoja ili iwe ni msaada kwa serikali kuielimisha jamii wao wanashindwa kutetea hoja.

Kwa mfano nimeona wengi wanawauliza swali hili 👇

“Mnasema kuna nchi zimefaidika kama Rwanda na Somalia,je wamenufaika vipi na kabla ya hapo ilikuwaje?

Swali jingine ni Kama ni mkataba mbona wananchi hawakuwa na taarifa wala wabunge?

Swali jingine 👉 tuambieni kifungu gani ambacho kimegusa ushirikiano wa wawekezaji na wananchi ambao watahitaji ajira.

Sasa wanapobandikwa maswali wanashikwa na hasira,kiasi ambacho unahisi huenda huyu mwana UVCCM haelewi kuhusu mambo ya uchumi,au hata hayo makubaliano hakupata kuyasoma ndipo ajimwage Mitandaoni.

Unaweza kuona ni kwanamna gani ambavyo mwana UVCCM kwenye majibizano anajigamba kwamba hata iweje mambo yataenda tu 😢

Kwa maoni yangu ni kwamba hao vijana wasaidiwe namna bora ya kuweza kupambanua masuala mazito ambayo yanagusa mtima wa kila mwananchi.

Kwanza wasome vizuri kama ni mikataba au makubaliano,waelewe kabla ya kutoka hadharani,inakuwa kichekesho kwamba maswali mengine yanajibika wanayobishana Mitandaoni na vijana wenzao wa vyama vingine au wananchi wengine ambao wana mitazamo tofauti.

Kwamba hawa wanatakiwa kutafakari kwanza wakae wakijua kwamba Tanzania kuna Vichwa ambavyo vina uelewa mkubwa sana.

👉 Mwisho kabisa mimi sio mwanachama wa chama chochote na similiki kadi yoyote wala Kura sijawahi kupiga tangu nizaliwe ila ni mdau wa maendeleo tu basi.

Ahsante
 
Naamini kila Mtanzania ana haki ya kuhoji mustakabali wa maendeleo ya kila nyanja katika nchi yetu ya Tanzania.

Kwa mfano: suala la Bandari hivi sasa linazungumzwa karibu na kila Mtanzania,wapo wanaokosoa na wapo ambao wanaona ni sawa Tanzania inahitaji kuingia ubia na Kampuni husika.

Kuna mijadala mingi sana Mitandaoni ambayo inaendelea, lakini nataka niongee kwa upande wa UVCCM ambao ni vijana wa chama cha Mapinduzi.

Hawa vijana baadhi yao wamekuwa vinara kwenye kuzungumza juu ya uhalali wa Tanzania kuingia makubaliano na kampuni ya DP World.

Kwanza,naomba niseme sio kosa kwa vijana wa UVCCM kuunga mkono hata kidogo!

Lakini cha kushangaza ni pale ambapo wanaposhindwa kuieleza jamii manufaa ya kuingia ubia na kampuni hiyo,badala ya kujenga hoja ili iwe ni msaada kwa serikali kuielimisha jamii wao wanashindwa kutetea hoja.

Kwa mfano nimeona wengi wanawauliza swali hili 👇

“Mnasema kuna nchi zimefaidika kama Rwanda na Somalia,je wamenufaika vipi na kabla ya hapo ilikuwaje?

Swali jingine ni Kama ni mkataba mbona wananchi hawakuwa na taarifa wala wabunge?

Swali jingine 👉 tuambieni kifungu gani ambacho kimegusa ushirikiano wa wawekezaji na wananchi ambao watahitaji ajira.

Sasa wanapobandikwa maswali wanashikwa na hasira,kiasi ambacho unahisi huenda huyu mwana UVCCM haelewi kuhusu mambo ya uchumi,au hata hayo makubaliano hakupata kuyasoma ndipo ajimwage Mitandaoni.

Unaweza kuona ni kwanamna gani ambavyo mwana UVCCM kwenye majibizano anajigamba kwamba hata iweje mambo yataenda tu 😢

Kwa maoni yangu ni kwamba hao vijana wasaidiwe namna bora ya kuweza kupambanua masuala mazito ambayo yanagusa mtima wa kila mwananchi.

Kwanza wasome vizuri kama ni mikataba au makubaliano,waelewe kabla ya kutoka hadharani,inakuwa kichekesho kwamba maswali mengine yanajibika wanayobishana Mitandaoni na vijana wenzao wa vyama vingine au wananchi wengine ambao wana mitazamo tofauti.

Kwamba hawa wanatakiwa kutafakari kwanza wakae wakijua kwamba Tanzania kuna Vichwa ambavyo vina uelewa mkubwa sana.

👉 Mwisho kabisa mimi sio mwanachama wa chama chochote na similiki kadi yoyote wala Kura sijawahi kupiga tangu nizaliwe ila ni mdau wa maendeleo tu basi.

Ahsante
TUNAHITAJI UWEKEZAJI KWENYE BANDARI, ILI UFANISI UONGEZEKE, TUINUE UCHUMI, TUTOE AJIRA ZA KUTOSHA, TUSOMESHE WANAFUNZI WENGI, NA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA HUDUMA ZA JAMII.
UWEKEZAJII HUUU NI MUHIMU SAANA ACHENI KUJIPA UJUAJI WA KIZAMANII.
 
Naamini kila Mtanzania ana haki ya kuhoji mustakabali wa maendeleo ya kila nyanja katika nchi yetu ya Tanzania.

Kwa mfano: suala la Bandari hivi sasa linazungumzwa karibu na kila Mtanzania,wapo wanaokosoa na wapo ambao wanaona ni sawa Tanzania inahitaji kuingia ubia na Kampuni husika.

Kuna mijadala mingi sana Mitandaoni ambayo inaendelea, lakini nataka niongee kwa upande wa UVCCM ambao ni vijana wa chama cha Mapinduzi.

Hawa vijana baadhi yao wamekuwa vinara kwenye kuzungumza juu ya uhalali wa Tanzania kuingia makubaliano na kampuni ya DP World.

Kwanza,naomba niseme sio kosa kwa vijana wa UVCCM kuunga mkono hata kidogo!

Lakini cha kushangaza ni pale ambapo wanaposhindwa kuieleza jamii manufaa ya kuingia ubia na kampuni hiyo,badala ya kujenga hoja ili iwe ni msaada kwa serikali kuielimisha jamii wao wanashindwa kutetea hoja.

Kwa mfano nimeona wengi wanawauliza swali hili 👇

“Mnasema kuna nchi zimefaidika kama Rwanda na Somalia,je wamenufaika vipi na kabla ya hapo ilikuwaje?

Swali jingine ni Kama ni mkataba mbona wananchi hawakuwa na taarifa wala wabunge?

Swali jingine 👉 tuambieni kifungu gani ambacho kimegusa ushirikiano wa wawekezaji na wananchi ambao watahitaji ajira.

Sasa wanapobandikwa maswali wanashikwa na hasira,kiasi ambacho unahisi huenda huyu mwana UVCCM haelewi kuhusu mambo ya uchumi,au hata hayo makubaliano hakupata kuyasoma ndipo ajimwage Mitandaoni.

Unaweza kuona ni kwanamna gani ambavyo mwana UVCCM kwenye majibizano anajigamba kwamba hata iweje mambo yataenda tu 😢

Kwa maoni yangu ni kwamba hao vijana wasaidiwe namna bora ya kuweza kupambanua masuala mazito ambayo yanagusa mtima wa kila mwananchi.

Kwanza wasome vizuri kama ni mikataba au makubaliano,waelewe kabla ya kutoka hadharani,inakuwa kichekesho kwamba maswali mengine yanajibika wanayobishana Mitandaoni na vijana wenzao wa vyama vingine au wananchi wengine ambao wana mitazamo tofauti.

Kwamba hawa wanatakiwa kutafakari kwanza wakae wakijua kwamba Tanzania kuna Vichwa ambavyo vina uelewa mkubwa sana.

👉 Mwisho kabisa mimi sio mwanachama wa chama chochote na similiki kadi yoyote wala Kura sijawahi kupiga tangu nizaliwe ila ni mdau wa maendeleo tu basi.

Ahsante
Kwan ni lini walikua timamu?
 
TUNAHITAJI UWEKEZAJI KWENYE BANDARI, ILI UFANISI UONGEZEKE, TUINUE UCHUMI, TUTOE AJIRA ZA KUTOSHA, TUSOMESHE WANAFUNZI WENGI, NA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA HUDUMA ZA JAMII.
UWEKEZAJII HUUU NI MUHIMU SAANA ACHENI KUJIPA UJUAJI WA KIZAMANII.
Akili kama hii inayowaza kula yake ya leo, isiyofikilia miaka 20,50 hata 100 ijayo unategemea nin, kazi unafiki, ubinafsi na njaa. Kweli akili ni nywele na kuna watu wanajiita wasomi ila niusomi wa vyeti na hauna maarifa kabisa. Jenga hoja fuatilia jambo na jibu hoja, siyo kwa huu ujinga ujinga.
 
Kuna mtu anacheza mchezo na Mwanasheria mkuu, huyu mtu alimwabia mwanasheria mkuu afute ile sehemu ya tarehe ya mkataba.

Sasa mama nae kahujumiwa hajui nani anae mhujumu. Kwa wale walio wahi kuondokewa na baba yao wanajua wajomba zao jinsi walivyo Gombania mali ya baba yao. Na mama yao kuondolewa kwenye nyumba ya mumewe. Hiki ndicho kinacho mkuta mama Samia leo.
 
Makubwa haya! hivi wewe aleesha si mzanzibari usiyependa kabisa muungano ?
Iweje leo unazungumzia bandari za Tanganyika na uwekezaji wake ilhali hata Muungano huutaki ?
 
Akili kama hii inayowaza kula yake ya leo, isiyofikilia miaka 20,50 hata 100 ijayo unategemea nin, kazi unafiki, ubinafsi na njaa. Kweli akili ni nywele na kuna watu wanajiita wasomi ila niusomi wa vyeti na hauna maarifa kabisa. Jenga hoja fuatilia jambo na jibu hoja, siyo kwa huu ujinga ujinga.
Uwekezaji ni sera ya ulimwenguni kote. Sharti mwekezaji apate faida na mwenyeji apate faida. Acheni KUJIPA UJUAJI uchwaraaa. Huuu uwekezaji ni WA faida kubwaa zaidiii. Hakuna madhara yoyote acheni kutapelii watuuu. Tumeshawagundua
 
Samahan lakin, una elimu gani mkuu.
Elimu ulionayo wewe imekusaidia Nini. Ebu kaeni kimyaa msiharibu uwekezaji. Bandari lazima iwekezwe ili kuboresha UFANISI na kukuza uchumi. Acheni kerere yaaani hasara iliyopo pale tuendelee tuuu, haiwezekani lazima tuwekeze Kwa wengine ilikuboreshaa ufani na Pato la nchii. Kaeni kimyaaa KUJIPA UJUAJI usio na tijaa
 
Elimu ulionayo wewe imekusaidia Nini. Ebu kaeni kimyaa msiharibu uwekezaji. Bandari lazima iwekezwe ili kuboresha UFANISI na kukuza uchumi. Acheni kerere yaaani hasara iliyopo pale tuendelee tuuu, haiwezekani lazima tuwekeze Kwa wengine ilikuboreshaa ufani na Pato la nchii. Kaeni kimyaaa KUJIPA UJUAJI usio na tijaa
Ha ha ha haaaa basi sawa mkuu., ila time will tel.
 
Back
Top Bottom