PeterwaPerer
JF-Expert Member
- Sep 12, 2024
- 280
- 315
Mashabiki huwa ni oya oya tu, kuhoji sio jukumu lao
KivipGSM anawapiga sana uto-polo lakini wao wanadhani kuwa anawasaidia.
Mafanikio ya Simba yanawachoma Wanayanga kumoyo mkuu.Ila boss unahangaika sana, mara usifie ukitaka Yanga waige, mara utoe maoni hiyo pesa ni ndogo mara useme ni uongo.
Yaani jambo moja unalitolea maoni tofauti yanayojipinga yenyewe. Ni kama ukisikia jambo chap unakuja JF kuliongelea.
muulize maana ya HISAZiko wapi? Hahahahha kweli Rage hakukosea
We unafikiri asingekuwa anawapiga angeendelea kuidhamini club?Kivip
Basi JF ilipe tu kwa kuandika humu maana kuna wanaojituma mno. Mtu hajali alichosema jana kinapingana na anachosema leo mradi kaandika.Mafanikio ya Simba yanawachoma Wanayanga kumoyo mkuu.
Ilimradi yeye kaandika tu utafikiri hana ubongo.Basi JF ilipe tu kwa kuandika humu maana kuna wanaojituma mno. Mtu hajali alichosema jana kinapingana na anachosema leo mradi kaandika.
Hapo unakuta hata card ya mwanachama wa simba hata yani ajawai isaidia simba kwa chochote. 😭Daah mpira tu unatukana hivi ila jua ukimtukana mzazi wa mtu mwingine ni Sawa na kumtukania mzazi wako ni vile hivi vitu vijana hamjapewa na karma yake ni mbaya sana.
Bado timu ikaja kucheza robo final caf champion mara sita, timu kwenye ubora imeshika namba 4 africa na huenda siku za mbeleni wakapata nafas ya kushiriki club bingwa dunia. Wanadhan thaman ya Simba imesimama kama ya timu yao.Duh!, jamaa kiazi sana wewe. Mo kazinunua 49% miaka almost 8 iliyopita, au unadhani thamani ya hizo 49% kwa sasa still ni 20 billions?. Kweli kule kwenye mwiko nyuma wenye akili ni wawili tu
Watanzania wengi sio Kosa lao hawajapata malezi ya wazazi wawili Mama na Baba kwa hiyo wanaona ni kama watu wa kawaida tu.Hapo unakuta hata card ya mwanachama wa simba hata yani ajawai isaidia simba kwa chochote. 😭
Juzi mada za Wana uto-polo ilikuwa ni kuondoshwa Kwa Simba kwenye mashindanonya kimataifa Leo mada imebadilika baada ya Simba kusonga mbele.Bado timu ikaja kucheza robo final caf champion mara sita, timu kwenye ubora imeshika namba 4 africa na huenda siku za mbeleni wakapata nafas ya kushiriki club bingwa dunia. Wanadhan thaman ya Simba imesimama kama ya timu yao.
Yani unauliza ziko wapi? Uwanja wa mazoezi umejenga wewe, usajili wa wachezaji umechangishwa wewe? Gharama za uendeshaji wa Club , safari , bonus, unatoa wewe?Ziko wapi? Hahahahha kweli Rage hakukosea
tukirejealea ile kauli ya Haji Manara hatutopata shida. "wenye akili ni wawili tu"Bado timu ikaja kucheza robo final caf champion mara sita, timu kwenye ubora imeshika namba 4 africa na huenda siku za mbeleni wakapata nafas ya kushiriki club bingwa dunia. Wanadhan thaman ya Simba imesimama kama ya timu yao.
Kila jezi klabu inapata ka buku kamoja na tu elfu tutatu tu kiasi kilichobaki gsm anatia mfukoni mwake . Dah! Inasikitisha kwakweli.Kivip
Mimba changa ina madhara sana.Haishi kutapika na kutapatapa.Akijifungua ataacha mvumilie tu.Ni kama yule mrembua macho anayeitwa Mchome wanalipwa kujifanya ni wanasimba.Ila boss unahangaika sana, mara usifie ukitaka Yanga waige, mara utoe maoni hiyo pesa ni ndogo mara useme ni uongo.
Yaani jambo moja unalitolea maoni tofauti yanayojipinga yenyewe. Ni kama ukisikia jambo chap unakuja JF kuliongelea.
Hata sisi Yanga tunapumbazwa. Hivi kwa ukubwa wetu, sisi kweli klabu yetu ni ya kupewa sh. 1,300/= kwa kila jezi inayouzwa na mdhamini? Tena anayesema idadi ya jezi zilizouzwa sio klabu, ni huyo huyo mdhamini anayechukua kiasi kikubwa?Uongozi wa Simba unatuona mashabiki na Wanachama wa Simba mbumbumbu kama alivotuita Rage pale kwenye ukumbi wa polisi Oystabay aliwaita Wanachama wa Simba ni mbumbumbu
Mwekezaji mkuu Mo mwenye 49% ameweka 20 billions ( hewa) miaka 10 haijawahi kuingiza kwenye account
Muuza jersey J Rutty anaweka b 38 miaka 5, na offer za uongo
Yaani j Ruty aweke mkwanja kumzidi mwekezaji mkuu
Duuuh 😂😃😀Hata sisi Yanga tunapumbazwa. Hivi kwa ukubwa wetu, sisi kweli klabu yetu ni ya kupewa sh. 1,300/= kwa kila jezi inayouzwa na mdhamini? Tena anayesema idadi ya jezi zilizouzwa sio klabu, ni huyo huyo mdhamini anayechukua kiasi kikubwa?
Kaaz kweliMimba changa ina madhara sana.Haishi kutapika na kutapatapa.Akijifungua ataacha mvumilie tu.Ni kama yule mrembua macho anayeitwa Mchome wanalipwa kujifanya ni wanasimba.
mimi nafikiria mdhamini mkuu yupo nyuma yake kwakua hamumpi timu mazima so ameamua kuja kivingine,ule uwanja km akifanikiwa watakusanya hela nyingi mno tena sanaUongozi wa Simba unatuona mashabiki na Wanachama wa Simba mbumbumbu kama alivotuita Rage pale kwenye ukumbi wa polisi Oystabay aliwaita Wanachama wa Simba ni mbumbumbu
Mwekezaji mkuu Mo mwenye 49% ameweka 20 billions ( hewa) miaka 10 haijawahi kuingiza kwenye account
Muuza jersey J Rutty anaweka b 38 miaka 5, na offer za uongo
Yaani j Ruty aweke mkwanja kumzidi mwekezaji mkuu
Inaelekea umepitiwa mbali na elimu zote, ya ujumla na ya biashara.Muuza jersey J Rutty anaweka b 38 miaka 5, na offer za uongo
Yaani j Ruty aweke mkwanja kumzidi mwekezaji mkuu