Wanachama wa Simba tunapumbazwa na viongozi

Wanachama wa Simba tunapumbazwa na viongozi

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,894
Reaction score
36,385
Uongozi wa Simba unatuona mashabiki na Wanachama wa Simba mbumbumbu kama alivotuita Rage pale kwenye ukumbi wa polisi Oystabay aliwaita Wanachama wa Simba ni mbumbumbu

Mwekezaji mkuu Mo mwenye 49% ameweka 20 billions ( hewa) miaka 10 haijawahi kuingiza kwenye account

Muuza jersey J Rutty anaweka b 38 miaka 5, na offer za uongo
Yaani j Ruty aweke mkwanja kumzidi mwekezaji mkuu
 
Uongozi wa Simba unatuona mashabiki na Wanachama wa Simba mbumbumbu kama alivotuita Rage pale kwenye ukumbi wa polisi Oystabay aliwaita Wanachama wa Simba ni mbumbumbu

Mwekezaji mkuu Mo mwenye 49% ameweka 20 billions ( hewa) miaka 10 haijawahi kuingiza kwenye account

Muuza jersey J Rutty anaweka b 38 miaka 5, na offer za uongo
Yaani j Ruty aweke mkwanja kumzidi mwekezaji mkuu
Kila Utopolo atachanganyikiwa Kwa wakati wake
 
Utopolo mnaishi kwa hisani siku GSM akikasirika wachezaji hawana uhakika wa kula mchana
 
Uongozi wa Simba unatuona mashabiki na Wanachama wa Simba mbumbumbu kama alivotuita Rage pale kwenye ukumbi wa polisi Oystabay aliwaita Wanachama wa Simba ni mbumbumbu

Mwekezaji mkuu Mo mwenye 49% ameweka 20 billions ( hewa) miaka 10 haijawahi kuingiza kwenye account

Muuza jersey J Rutty anaweka b 38 miaka 5, na offer za uongo
Yaani j Ruty aweke mkwanja kumzidi mwekezaji mkuu
Kama mo hajawekeza pesa kwani Simba ilikuwa inaendeshwa na fedha za mama yako?
 
Uto Polo wameshangiwa na ubaridi yabisi kwa huu uwekezaji wa aina yake.
 
Kama mo hajawekeza pesa kwani Simba ilikuwa inaendeshwa na fedha za mama yako?
Daah mpira tu unatukana hivi ila jua ukimtukana mzazi wa mtu mwingine ni Sawa na kumtukania mzazi wako ni vile hivi vitu vijana hamjapewa na karma yake ni mbaya sana.
 
Ila boss unahangaika sana, mara usifie ukitaka Yanga waige, mara utoe maoni hiyo pesa ni ndogo mara useme ni uongo.

Yaani jambo moja unalitolea maoni tofauti yanayojipinga yenyewe. Ni kama ukisikia jambo chap unakuja JF kuliongelea.
 
Sometime ushabiki ni kama ukichaa Fulani. Hata ikiwekwa bilioni 100 bado naona sipati hapo hata unga kilo moja Kwa ajili ya watoto wangu
 
Back
Top Bottom