Leo ningependa kuwauliza wanachama na wafuasi wa cdm mmewahi kumuona Katibu wenu wa chama Dr Slaa akimsema vibaya au kumtaja kwa ubaya wowote Mh Lowassa??
Hata katika orodha aliyotoa pale Jangwani mliona jina la Mh Lowassa?? Lini na wapi Dr Slaa alimtaja EL vibaya?? Wakuu mnaijua sababu ni ipi???
Rejea ahadi ambayo Baba wa Taifa aliiweka juu ya Rais wa Tanzania....
Leo ningependa kuwauliza wanachama na wafuasi wa cdm mmewahi kumuona Katibu wenu wa chama Dr Slaa akimsema vibaya au kumtaja kwa ubaya wowote Mh Lowassa??
Hata katika orodha aliyotoa pale Jangwani mliona jina la Mh Lowassa?? Lini na wapi Dr Slaa alimtaja EL vibaya?? Wakuu mnaijua sababu ni ipi???
Rejea ahadi ambayo Baba wa Taifa aliiweka juu ya Rais wa Tanzania....
Leo ningependa kuwauliza wanachama na wafuasi wa cdm mmewahi kumuona Katibu wenu wa chama Dr Slaa akimsema vibaya au kumtaja kwa ubaya wowote Mh Lowassa??
Hata katika orodha aliyotoa pale Jangwani mliona jina la Mh Lowassa?? Lini na wapi Dr Slaa alimtaja EL vibaya?? Wakuu mnaijua sababu ni ipi???
Rejea ahadi ambayo Baba wa Taifa aliiweka juu ya Rais wa Tanzania....
pole sana mkuu kwa kukabiliwa na tatizo la kupoteza kumbukumbu. Orodha ya mafisadi 11 ilitolewa MWEMBE YANGA na si JANGWANI. Ktk orodha ile ya mafisadi 11 E.LOWASSA yumo..!
huu ni uwongo na uzushi mtupu we dada,Dr.W.Slaa alifadhiliwa sana na Lowassa. Hawezi kumsahau na hawezi kumsema vibaya hata siku moja.
Ulitaka amtaje kwenye the list of shame au?