Taarifa kutoka kwa mjumbe mmoja wa CCM zinaeleza wanaCCM wengi hawafurahishwi na mwendo wa kijana huyo. Wanadai ameshindwa kukisaidia chama kuondokana na makundi yanayokitafuna kila siku zaidi ya siasa zake za makundi inaelekea bila ccm kuwasikiliza wazee nape anasaidia sana chadema kuwa maarufu.
Mzee mmoja kanda ya ziwa amesema wazi kuwa kitendo cha nape kuzungumzia chadema kila kukicha kinawaudhi wanaccm, alipozungumzia ukaskazini alisema kijana hajakomaa huwezi kuitenga jamii eti kwa kuwa wanasapoti upinzani, mwingine akasema mbona zanzibar hatukuitenga sababu ya CUF?
Mama wa chama wa siku nyingi alisema inabidi nape aombe radhi au ajisafishe sababu anazidi kukibomoa chama mchana kweupe.
Mzee mmoja kanda ya ziwa amesema wazi kuwa kitendo cha nape kuzungumzia chadema kila kukicha kinawaudhi wanaccm, alipozungumzia ukaskazini alisema kijana hajakomaa huwezi kuitenga jamii eti kwa kuwa wanasapoti upinzani, mwingine akasema mbona zanzibar hatukuitenga sababu ya CUF?
Mama wa chama wa siku nyingi alisema inabidi nape aombe radhi au ajisafishe sababu anazidi kukibomoa chama mchana kweupe.