mgashi
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 307
- 92
Kwa maana hiyo unamaanisha CDM"Ukiona adui yako anakusifia ujue unalofanya ni kwa faida yake,lakini ukiona anapiga kelele kuwa umekosea unalofanya ni sahihi kabisa, endelea tena kwa nguvu zaidi" J K Nyerere. 1983 Kampala Uganda
Huna jipya mkuu
Waendelee na halakati zao kwa sababu nyie ccm kila siku mnapiga kelele kila walifanyalo CDM wanakosea ila iko siku utakuja lamba matapishi yako na hivi magamba hata mshipa wa aibu hamna kabla jua halijakuchwa lazima uombe kuhamiz CDM sijuwi utauweka wapi uso wako.