Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,904
- 33,473
Kama na wewe ndio mmoja wa thinker wa UKAWA, basi shida ipo kubwa sanaHakuna mjanja ataependa kuon anazama shimoni kama ccm ifanyavyo na kwa sasa watalii zaid ya elfu saba wamepiga chini root za kuja bongo wanahamia kenya serikali haina vyanzo vipya vya mapato wameuaingia had ma banj errors bandalin zimekwisha kifup hali mbaya sna ndani ya miez 8 tu ya uongoz hiyo miaka 5 lazima mpauke na kunyonyoka manyoua kama kuku wa kisasa ukienda dokon fungu moja na mboga za majani chainiz ni 500 badala ya 150 au 200 kama raia hawajala viwav jesh