Lakini anaweza kupata muda wa kaangalie bunge liveKwa akili yako mtu aliyeajiriwa na ana kazi ya maana anapata wapi muda wa kuangalia mpira asubuhi au na ww ndo wale wale majobless ni wengi balaa na ajira kwa sasa zimesitishwa na ngosha wakat serikalini ndo kulikuwa kunaongoza kwa kutoa ajira ukiacha vi sekta binafs, pale wenzio wameingia kuchek mpira had saa kumi kupoteza mawazo tu unafikir pangekuwa na kiingilio wangewah asubuhi?
Hakuna hata siku moja mkapa kasema uongo mkuu. Hawa ni fools nyambafuUmeandika maneno meengi as if una akili sana....
Lakini nikwambie tu kwamba hao watalii hawaondoi ukweli kwamba hamna hoja za kumkosoa Magu
Sijaona ukosoaji zaidi ya kulalamika..... Mkapa alikuwa sahihi sana kuwataja yale majina...
Jamaa hukurupuka tu mkuu kila lisu na mbowe akisema kwao ni ndiyo mzee. Sina shaka wakiambiwa wavue nguo watavua sababu hawatumii muda kutafakari ni kukurupuka tu.Umesikia watu selous wamelalamika? Malalamiko yako Arusha na Kilimanjaro
Tangu mmeanza kupambana na mafisadi ni unafuu gani wa maisha tumeupata?Mnatumia hoja dhaifu sana, kwa mtindo huu Magufuli hamumuwezi. Kupambana na mafisadi, ujenzi Wa miundombinu, utengenezaji madawati, elimu bure, madawa, ukusanyaji Wa kodi ni zaidi ya sukari ambayo wenyewe mliwashawishi wafanyabiashara waifiche. Endeleeni kutumia hoja ya sukari kama ngao ya kujikinga na mashambulizi ya Magufuli