Wana Simba njooni tujadili

Sharbel

JF-Expert Member
Feb 20, 2020
1,131
2,329
Mnakumbuka tulisajiri kipa kutoka America kusini ligi daraja la nne, uto na viongozi wao waliongea sana hatimaye akaenguliwa.

Wenzetu wapo vizuri kwenye kutumia udhaifu wa mpinzani, ila kwetu hatupo hivyo utakuta tunajipa lawama wenyewe kuwa ni uzembe wetu, na sipingi hilo.

Nini namaanisha, ni hili jambo la Yanga kumchezesha mchezaji asiyethibitishwa, mbona TFF hawamtaji na kanuni hazifuatwi.

Tupo baridi na msemaji wetu kujifanya msema ukweli, kuwa timu yetu mbovu, ubovu tulio nao umesababishwa na Simba wenyewe.

Ila hili jambo la Yanga kama hawalioni, ila ingekuwa ndio Simba imefanya hivyo basi hakika tungekoma sana.

Juzi hapa Yanga waliishurutisha Azam media kufuta taarifa za Mayele alizosema Yanga. Unaona kabisa wenzetu hawapo tayari kuchafuliwa hata kidogo ila sisi tupo baridi.

Najua mtakuja kusema mpira ni dakika 90 na ndio zinaongea lakini tukumbuke hiyo nayo ni kanuni, na bila kanuni kila mtu atafanya anachotaka.

Ni mawazo yangu tu.

#Sina Imani na viongozi wa Simba akiwemo Ahmed ally
 
Mtajuana vp kuwa nyie ni wanasimba? Hapa.


KAZI ni kipimo cha UTU
 
Sheria na kanuni zote za mpira zinaongozwa na FIFA na wala sio TFF, hivyo wao FIFA ndio waliotoa hukumu ya kufungiwa usajili kwa Yanga hadi pale watakapokamilisha utaratibu na laiti kama wangeona sheria ilipaswa Yanga kupokonywa point basi wangetoa muongozo kwa TFF kupokonywa point.. FIFA ndio kila kitu kwenye mpira wa miguu.
 
Sheria na kanuni zote za mpira zinaongozwa na FIFA na wala sio TFF, hivyo wao FIFA ndio waliotoa hukumu ya kufungiwa usajili kwa Yanga hadi pale watakapokamilisha utaratibu na laiti kama wangeona sheria ilipaswa Yanga kupokonywa point basi wangetoa muongozo kwa TFF kupokonywa point.. FIFA ndio kila kitu kwenye mpira wa miguu.
Wakamilishe utaratibu upi wakati wameshayakoroga ? Alafu kwa kukusaidia tu, kuna baadhi ya taratibu na kanuni hazipo FIFA ila ni za TFF tu
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.

23. 5imba SC.
JamiiForums1683832807.jpg
Screenshot_2023-11-23-13-56-10-25_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Wakamilishe utaratibu upi wakati wameshayakoroga ? Alafu kwa kukusaidia tu, kuna baadhi ya taratibu na kanuni hazipo FIFA ila ni za TFF tu
1) Nitajie hizo kanuni ambazo zipo TFF pekee lakini FIFA azipo
2) kila kosa lina hukumu yake asa unaposema kuwa wakamilishe utaratibu wakati wameshayakoroga ni wazi kwamba unataka ifuatwe unavyotaka wewe na sio FIFA. maana FIFA wameamua kuifungia Yanga na wakiweka sawa kosa lao watafunguliwa. Asa wewe kinakuuma nini FIFA kuamua hivyo?
 
1) Nitajie hizo kanuni ambazo zipo TFF pekee lakini FIFA azipo
2) kila kosa lina hukumu yake asa unaposema kuwa wakamilishe utaratibu wakati wameshayakoroga ni wazi kwamba unataka ifuatwe unavyotaka wewe na sio FIFA. maana FIFA wameamua kuifungia Yanga na wakiweka sawa kosa lao watafunguliwa. Asa wewe kinakuuma nini FIFA kuamua hivyo?
1. Namba ya wachezaji wa kimataifa ni mfano mzuri tu, TFF Ina ukomo nadhani ni 12 kama sikosei, mengine katafute wewe
 
1) Nitajie hizo kanuni ambazo zipo TFF pekee lakini FIFA azipo
2) kila kosa lina hukumu yake asa unaposema kuwa wakamilishe utaratibu wakati wameshayakoroga ni wazi kwamba unataka ifuatwe unavyotaka wewe na sio FIFA. maana FIFA wameamua kuifungia Yanga na wakiweka sawa kosa lao watafunguliwa. Asa wewe kinakuuma nini FIFA kuamua hivyo?
Screenshot_20240505-115720.png
 
Mnakumbuka tulisajiri kipa kutoka America kusini ligi daraja la nne, uto na viongozi wao waliongea sana hatimaye akaenguliwa.

Wenzetu wapo vizuri kwenye kutumia udhaifu wa mpinzani, ila kwetu hatupo hivyo utakuta tunajipa lawama wenyewe kuwa ni uzembe wetu, na sipingi hilo.

Nini namaanisha, ni hili jambo la Yanga kumchezesha mchezaji asiyethibitishwa, mbona TFF hawamtaji na kanuni hazifuatwi.

Tupo baridi na msemaji wetu kujifanya msema ukweli, kuwa timu yetu mbovu, ubovu tulio nao umesababishwa na Simba wenyewe.

Ila hili jambo la Yanga kama hawalioni, ila ingekuwa ndio Simba imefanya hivyo basi hakika tungekoma sana.

Juzi hapa Yanga waliishurutisha Azam media kufuta taarifa za Mayele alizosema Yanga. Unaona kabisa wenzetu hawapo tayari kuchafuliwa hata kidogo ila sisi tupo baridi.

Najua mtakuja kusema mpira ni dakika 90 na ndio zinaongea lakini tukumbuke hiyo nayo ni kanuni, na bila kanuni kila mtu atafanya anachotaka.

Ni mawazo yangu tu.

#Sina Imani na viongozi wa Simba akiwemo Ahmed ally
 
mpira unachezwa hadharani wewe unataka kuuchezea mezani yaani usajili mizee halafu utake kuomba Sheria ikusaidie yanga itawateda sana vmcheza mpira acha kulia lia hamna mpira wa hivyo mzee🤣🤣🤣🤣🤣
 
mpira unachezwa hadharani wewe unataka kuuchezea mezani yaani usajili mizee halafu utake kuomba Sheria ikusaidie yanga itawateda sana vmcheza mpira acha kulia lia hamna mpira wa hivyo mzee🤣🤣🤣🤣🤣
Nilitahadhirisha hili, hata hilo mpira wa hadharani ni kanuni lazima izingatiwe. Fuata kanuni
 
Nilitahadhirisha hili, hata hilo mpira wa hadharani ni kanuni lazima izingatiwe. Fuata kanuni
Cheza mpira hadharani wewe sajili wachezaji sio unasajili kina papaa omari wanjombe halafu utegemee kucheza mpira wa mezani hiyo haipo siku hizi acha kulia lia imekula kwako this is yangaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom