wana ndoa au wenye uzoefu

Mtende

JF-Expert Member
Sep 27, 2010
6,385
7,295
jamani kwa wale wenye ndoa help me out,nasikia ukishaingia kwenye ndoa i mean ukiolewa ni lazima kilasiku mfanye lile tendo wewe na mwenzio,sasa mimi nauliza hivi huwa hamchokani?au haukinai?hiyo sekta inanifanya nipate msongo wa mawazo nipeni jibu pls
 
jamani kwa wale wenye ndoa help me out,nasikia ukishaingia kwenye ndoa i mean ukiolewa ni lazima kilasiku mfanye lile tendo wewe na mwenzio,sasa mimi nauliza hivi huwa hamchokani?au haukinai?hiyo sekta inanifanya nipate msongo wa mawazo nipeni jibu pls

msongo gani wa mawazo unaopata hapo sasa, kwani wewe upo kwenye ndoa?
 
hahahahaha shost pole tena pole sana kwa hofu mahaba unayoipata!!!!!!!
dahh haupo peke yako mwaya mwenyewe nawazaga wala spat jawabu mwaya mmh sjui niaje........lakin nadhani si kila siku bwana asi mtakuwa mnachoka sku nyingine....?
mi niliwaza ivi ntaandika time tebo afu ntaibandika nyuma ya kitanda so akirudi kazin km anataka unyumba anaenda nyuma ya kitanda ........hahahha yess nazani i itasaidia!!!!!!!
mkisema tufanye pale tunapojiskia mnaweza ku........ mara kumi per day...
natania mwaya ...unyumba hauna formula any day any hour anywhere MNACHECHEREKA TU!!!!!!!
unless othwse km unamatatizo au unaona km anakusumbua vile labda km hakufikish bt km anakupa muhogo mzima na unafurahia game mbona rrrahaaaaaaaaaaaa tu kila dk utataka akupe muhogo wa jan"gombe.......bt km akiwa anakuboa ndo ivo ratiba nyuma ya kitanda mbaaaaaaaaaaa mara mbili kwa mwezi ijumaa ya kwanza ya mwezi na j3 ya mwisho wa mwezi hahahah!!!!!!!!!!!
 
sas hata mke akiwa pm bado wanafanya? maswali mengine jamani.

hamaanish akiwa pm...anamanisha izi siku za kawaida itakuwa daily au ?
nais kachoka kabla ajachoshwa so inabidi mumjibu swalii lake kwa msaaada zaidi cz ana hofu ..msaidien kutoa hofu wandugu
 
no nataka kujua coz huko ndo tunapoelekea bacha

ok,nafikiri ukiingia kwenye ndoa ndo utayajua mengi!kiukweli ukiwa nje ya ndoa kunakuwa na hadithi nyingi za kufikirika, lakini once ukishajitumbukiza kwenye ndoa unakuta story tofauti kabisa!Ndoa inaunganishwa/inajumuisha mambo mengi sana golder sio sex tu!
 
ok,nafikiri ukiingia kwenye ndoa ndo utayajua mengi!kiukweli ukiwa nje ya ndoa kunakuwa na hadithi nyingi za kufikirika, lakini once ukishajitumbukiza kwenye ndoa unakuta story tofauti kabisa!Ndoa inaunganishwa/inajumuisha mambo mengi sana golder sio sex tu!
gud jibu
 
hahahahaha shost pole tena pole sana kwa hofu mahaba unayoipata!!!!!!!
dahh haupo peke yako mwaya mwenyewe nawazaga wala spat jawabu mwaya mmh sjui niaje........lakin nadhani si kila siku bwana asi mtakuwa mnachoka sku nyingine....?
mi niliwaza ivi ntaandika time tebo afu ntaibandika nyuma ya kitanda so akirudi kazin km anataka unyumba anaenda nyuma ya kitanda ........hahahha yess nazani i itasaidia!!!!!!!
mkisema tufanye pale tunapojiskia mnaweza ku........ mara kumi per day...
natania mwaya ...unyumba hauna formula any day any hour anywhere MNACHECHEREKA TU!!!!!!!
unless othwse km unamatatizo au unaona km anakusumbua vile labda km hakufikish bt km anakupa muhogo mzima na unafurahia game mbona rrrahaaaaaaaaaaaa tu kila dk utataka akupe muhogo wa jan"gombe.......bt km akiwa anakuboa ndo ivo ratiba nyuma ya kitanda mbaaaaaaaaaaa mara mbili kwa mwezi ijumaa ya kwanza ya mwezi na j3 ya mwisho wa mwezi hahahah!!!!!!!!!!!

subiri uolewe Rose1980, kisha umpatie hiyo ratiba mumeo!
 
jamani kwa wale wenye ndoa help me out,nasikia ukishaingia kwenye ndoa i mean ukiolewa ni lazima kilasiku mfanye lile tendo wewe na mwenzio,sasa mimi nauliza hivi huwa hamchokani?au haukinai?hiyo sekta inanifanya nipate msongo wa mawazo nipeni jibu pls

Unasikia hauna uhakika well kwanza hayo maneno inawezekana uliyasikia kijiweni, nani amesema kila siku lazima mfanye mapenzi ukiingia kwenye ndoa? achana na habari za uzushi na ujiamini usije ukashindwa kuoa au kuolewa bure eti kisa umesikia kwamba ukiingia kwenye ndoa lazima ufanye tendo la ndoa kila siku

Utapata msongo wa mawazo pindi pale utakaponyimwa unyumba na mwenzio na sio vice versa otherwise utakuwa na tatizo halafu acha woga na jiamini
 
hahahahaha shost pole tena pole sana kwa hofu mahaba unayoipata!!!!!!!
dahh haupo peke yako mwaya mwenyewe nawazaga wala spat jawabu mwaya mmh sjui niaje........lakin nadhani si kila siku bwana asi mtakuwa mnachoka sku nyingine....?
mi niliwaza ivi ntaandika time tebo afu ntaibandika nyuma ya kitanda so akirudi kazin km anataka unyumba anaenda nyuma ya kitanda ........hahahha yess nazani i itasaidia!!!!!!!
mkisema tufanye pale tunapojiskia mnaweza ku........ mara kumi per day...
natania mwaya ...unyumba hauna formula any day any hour anywhere MNACHECHEREKA TU!!!!!!!
unless othwse km unamatatizo au unaona km anakusumbua vile labda km hakufikish bt km anakupa muhogo mzima na unafurahia game mbona rrrahaaaaaaaaaaaa tu kila dk utataka akupe muhogo wa jan"gombe.......bt km akiwa anakuboa ndo ivo ratiba nyuma ya kitanda mbaaaaaaaaaaa mara mbili kwa mwezi ijumaa ya kwanza ya mwezi na j3 ya mwisho wa mwezi hahahah!!!!!!!!!!!

Hapo ndipo nakupendea Rose1980
 
thax bacha
thax golder for undstandng.......!!!!!!
km vp kuwe na bed laws.....sheria zote za kufunuana ztakwepo umo na siyo mnarukiana rukiana tu km chura........hahahaah!hahah!!!1 i topic imenichekesha sana leo dahh yan unapata kimuyemuye b4 shuguli haijaanza?dah mi pia ivoivo bt finest na royaroy +asprin na nymayao watatutolea hofu tusubiri mwaya......!!!!!!!!!!
 
Halafu unanibandikia ratiba ili iweje yaani kazini niwe na ratiba halafu kwenye kupeana unyumba na kwenye kuna ratiba:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
 
thax bacha
thax golder for undstandng.......!!!!!!
km vp kuwe na bed laws.....sheria zote za kufunuana ztakwepo umo na siyo mnarukiana rukiana tu km chura........hahahaah!hahah!!!1 i topic imenichekesha sana leo dahh yan unapata kimuyemuye b4 shuguli haijaanza?dah mi pia ivoivo bt finest na royaroy +asprin na nymayao watatutolea hofu tusubiri mwaya......!!!!!!!!!!


rose bana unazidi kunichekesha hofu lazima iwepo si unajua hata mwanafunzi kabla hajaingia kwenye necta huwa anahofu ila akishaingia anazoea
 
Halafu unanibandikia ratiba ili iweje yaani kazini niwe na ratiba halafu kwenye kupeana unyumba na kwenye kuna ratiba:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:

sas hutaki au?
 
jamani kwa wale wenye ndoa help me out,nasikia ukishaingia kwenye ndoa i mean ukiolewa ni lazima kilasiku mfanye lile tendo wewe na mwenzio,sasa mimi nauliza hivi huwa hamchokani?au haukinai?hiyo sekta inanifanya nipate msongo wa mawazo nipeni jibu pls
Childish, AND bORING!

Unasikia kwa nani?

Unataka kuanzisha familia yako au ile ya KUSIKIA KWA WATU?

Na ijulikane tangu sasa kuwa Familia inayoingia kwenye ndoa ni MPYA, na ina uwezowa kutunga mambo yake mapya kabisa bila kuiga kwa mtu!..

Wala usihangaike kutueleza kama utabandika ratiba au any crap of the type, we fanya kulekule kunako chumba mmalize huko!

Kama ni mumeo wa ndoana unampenda, haifai kuja kuzungumzia hapa ratiba uliyobandika, wala utakachofanya,..maana wazoefu wa taasisi tunakuona kama teenager, and you just have wishes and dreams that will never come true!'

Kwa ushauri zaidi mtafute member mmoja anaitwa MWANAJAMII'ONE akusaidie!

 
jamani kwa wale wenye ndoa help me out,nasikia ukishaingia kwenye ndoa i mean ukiolewa ni lazima kilasiku mfanye lile tendo wewe na mwenzio,sasa mimi nauliza hivi huwa hamchokani?au haukinai?hiyo sekta inanifanya nipate msongo wa mawazo nipeni jibu pls

Kiukweli miezi ya kwanza inaweza kuwa hata kutwa mara tatu baadae ikawa mara moja kwa siku na baada ya mwaka mara tatu kwa wiki,na baada ya miaka inaweza fika mara moja kwa wiki.Kwa lugha nyingine miezi ya kwanza utaona kasoro zote za dari au kuta ya juu.
 
sas hutaki au?

:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13: Nikijisikia unanipa chombo chako same applies to me vile vile usisahau kuwa kama mwanachama wa ISC nakuwa bado nina privilege na uwezo wa kwenda kutembelea majimbo mengine kuwasalimia wapiga kura wangu.

Halafu kuna kitu nimegundua, golder inaonekana wewe unaogopa gemu usijali mwanafunzi mpya kama wewe lazima tunaanza INTRODUCTION halafu tunakuja kwenye MAIN THEME halafu CONCLUSION ukitoka hapo utakuwa mwenyewe ukifika nyumbani unapiga simu kudai mwenyewe
 
Back
Top Bottom