Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,295
jamani kwa wale wenye ndoa help me out,nasikia ukishaingia kwenye ndoa i mean ukiolewa ni lazima kilasiku mfanye lile tendo wewe na mwenzio,sasa mimi nauliza hivi huwa hamchokani?au haukinai?hiyo sekta inanifanya nipate msongo wa mawazo nipeni jibu pls