Wana MMU tushirikiane kuboresha Jukwaa letu

Wana MMU tushirikiane kuboresha Jukwaa letu

Status
Not open for further replies.
Nakumbuka mara ya kwanza naingia hapa mwaka 2009 nilikita jukwaa lipo poa sana, lakini sa hiv jukwaa limevamiwa na hata jf yote pia imevamiwa.

Nakumbuka mara ya kwanza naingia nilishangaa sana na nilikosa cha kuchangia, sio kwamba sikujua kutumia keyboard but the seriousness ambayo ilikwepo so haikuwa rahisi kuleta utani hapa.

Kikubwa ambacho kinatuletea maumivu humu ndani ni mult ID.

Pia nadhani kingine kinachofanya hili jukwaa kupoteza hadhi au mwelekeo ni kujuana kwa watu nje ya jamiiforums, hii nayo inazalisha sana jokes na sometimes hata dharau zisizokuwa naulazima.


Pia wakubwa ningependa kuwaomba mods wawe na limits kwa biginer au new member ku acess na kuchangia mada nayo itasaidia maana hii itasaidia kupunguza mfurumusho wa thread na teampicha pia
 
Nakumbuka mara ya kwanza naingia hapa mwaka 2009 nilikita jukwaa lipo poa sana, lakini sa hiv jukwaa limevamiwa na hata jf yote pia imevamiwa.

Nakumbuka mara ya kwanza naingia nilishangaa sana na nilikosa cha kuchangia, sio kwamba sikujua kutumia keyboard but the seriousness ambayo ilikwepo so haikuwa rahisi kuleta utani hapa.

Kikubwa ambacho kinatuletea maumivu humu ndani ni mult ID.

Pia nadhani kingine kinachofanya hili jukwaa kupoteza hadhi au mwelekeo ni kujuana kwa watu nje ya jamiiforums, hii nayo inazalisha sana jokes na sometimes hata dharau zisizokuwa naulazima.


Pia wakubwa ningependa kuwaomba mods wawe na limits kwa biginer au new member ku acess na kuchangia mada nayo itasaidia maana hii itasaidia kupunguza mfurumusho wa thread na teampicha pia
Umesomeka mkuu.
 
Nakumbuka mara ya kwanza naingia hapa mwaka 2009 nilikita jukwaa lipo poa sana, lakini sa hiv jukwaa limevamiwa na hata jf yote pia imevamiwa.

Nakumbuka mara ya kwanza naingia nilishangaa sana na nilikosa cha kuchangia, sio kwamba sikujua kutumia keyboard but the seriousness ambayo ilikwepo so haikuwa rahisi kuleta utani hapa.

Kikubwa ambacho kinatuletea maumivu humu ndani ni mult ID.

Pia nadhani kingine kinachofanya hili jukwaa kupoteza hadhi au mwelekeo ni kujuana kwa watu nje ya jamiiforums, hii nayo inazalisha sana jokes na sometimes hata dharau zisizokuwa naulazima.


Pia wakubwa ningependa kuwaomba mods wawe na limits kwa biginer au new member ku acess na kuchangia mada nayo itasaidia maana hii itasaidia kupunguza mfurumusho wa thread na teampicha pia
Walas Ba asante sana kwa mchango wako na asante sana kwani umeona mwenyewe mabadiliko yaliyotokea toka wakati unajiunga hadi leo hii na tofauti iliyopo toka wakati huo na sasa
 
Last edited by a moderator:
Nimekuwa nikisoma mambo mengi sana ambayo wanajukwaa wamekuwa wakiyaandika.Yapo mambo ya msingi yamekuwa yakionekana hapa ,pia yapo mambo ya kipuuzi ambayo yamekuwa yakiandikwa na baadhi ya wanajukwaa.Hivyo basi nawaomba wanaofanya hivyo kuacha haraka.
 
Ya kipuuzi kama yapi???mana angalia na hili bandiko lako nalo lisije likawa nalo ni la kipuuzi
 
mfano tafadhali..maana kwako linaweza kuwa la kipuuzi kwa mwenzako la maana...
 
Ndiyo maana ya kuwepo jukwaa hili, yote yanaandikwa.
Kama unaona ni ya kipuuzi nakuomba usifungue thread yeyote kwenye hili jukwaa.
Huo unaouita upuuzi ni elimu tosha kwa watu wengine.
Hapa vinaongelewa viungo vya mwili, mazoea na matendo ambayo yakiwa kwenye jukwaa jingine mtu analimwa BANI palepale.
Hii ni kama VENT ya ku regulate pressure.

Watu hawataacha kuandika kwenye jukwaa hili kwa kuhofia kuitwa wapuuzi. Kwa niaba ya wengi wanaojivinjari kwenye jukwaa hili,naomba nikuombe radhi in adavance kama uandishi wetu unakukwaza.

Nimekuwa nikisoma mambo mengi sana ambayo wanajukwaa wamekuwa wakiyaandika.Yapo mambo ya msingi yamekuwa yakionekana hapa ,pia yapo mambo ya kipuuzi ambayo yamekuwa yakiandikwa na baadhi ya wanajukwaa.Hivyo basi nawaomba wanaofanya hivyo kuacha haraka.
 
Kimsingi wapo wapuuzi wachache lakini kwa kuwa ni wapuuzi we wapuuzie tu.

JF ina feature moja inaitwa Ingore List ambapo ukihisi mtu ni mpuuzi tu, unamuhifadhi huko na baada ya hapo hutaona chochote aandikacho hapa...
 
Wapuuzi hapa jamii forums wachache, wengi wao uwa new members ambao tayari wamejifunza ku click facebook na kadhalika. Uzuri ni kwamba kadri siku ziendavyo huyu mpuuzi anajikuta anakuwa mwerevu, Chezeya JF weye.

Hapa ni kisima cha elimu. Ajabu sana unakuwa member wa JF miaka 2 tena mdau wa MMU alafu maisha ya mahusiano na ndoa yakupige mwereka, Ajaaabuu sana.
 
Nimekuwa nikisoma mambo mengi sana ambayo wanajukwaa wamekuwa wakiyaandika.Yapo mambo ya msingi yamekuwa yakionekana hapa ,pia yapo mambo ya kipuuzi ambayo yamekuwa yakiandikwa na baadhi ya wanajukwaa.Hivyo basi nawaomba wanaofanya hivyo kuacha haraka.

Mkuu, hebu support maelezo yako na ka diagram ili yaeleweke vizuri...
 
Unaambiwa kila shetani na mbuyu wake ukiona halikufai kuna wengine wana lifurahia na hapa haulazimishwi kuchangia wala kusoma mada ya mtu... mpaka wewe umejua ni ya kipuuzi basi na wewe unakuwa ni mpuuzi kwa sababu umesha isoma na hauwezi kusupport upuuzi kama wewe sio mpuuzi humu kila wazo liko huru hakuna mtu anayebanwa bora tu ufuate sheria na taratibu.
 
Ya kipuuzi kama yapi???mana angalia na hili bandiko lako nalo lisije likawa nalo ni la kipuuzi

Acha hizo bhana!
Usijifanye upuu.zi huuelewi!
Mada za kipuuzi zinajulikana na comments za kipuuzi zinajulikana!
Kwa mfano:
hiyo comment yako ni miongoni mwa comment za kipuuzi!
...
For sure jukwaa limevamiwa na wapuu.zi kibao! Yaani JF imekuwa kama FB!
 
Panya walikuw wametawala humu ndani, 2 b honest daily nilikuw nasema bado nipo nipo saana coz of mada na michango inayokatisha tamaa kuingia kwenye ndoa..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom