Nelly Willy
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 241
- 397
Af we kama hujielewi? Umeleta hii thread ya nini? Mbona wanaokupa ushauri unawananga kisa nini?
huy si mzima hata lugha hajui kutumia,
Af we kama hujielewi? Umeleta hii thread ya nini? Mbona wanaokupa ushauri unawananga kisa nini?
Unatoa ushauri positive if at all you wanna a nigga to change siyo kuongea rubbish tu Hapa nimemnanga NANI
Na wewe keep quite let me handle these issues alone usinifuatefuate UMENIELEWA
Nahisi ntakuwa sijielewi Kama Mumeo
This is my ----ing thread for God's sake,keep some d....
Nani ka kwambia, we hujui kuwa maendeleo ya nchi yanategemea kodi ya pombe?pombe ni adui wa maendeleo.
wape wape mzee Replies wanataka kukuchokonoa hao wape vpande vyao......
Ngoja na mm nikajidunge serenget zangu tatu halafu nikusaidie kuwasha moto
Tumia kinywaji cha baltika pale unapohisi kuhtaj pombe. Coz ina radha kama ya pombe ila n non alcoholic. Imemsaidia mjomba angu maana alikuwa mlevi mbwa. Yaan anakunywa pombe wewe una act. Pia acha kampan ya ulev yote lakin pia jchangane na familia yaan ujibane uspate muda wa kukaa peke ako ukanywa pombe.
Frankly speaking !!! Just to put it correct
Ok mi siyo mlevi ni mnywaji that makes it all different
You don't have to like me either hut aongeza au Kupunguza nlichonacho na nsichokuwa nacho
Handle your business lady
pole sana mkuu, anza kidogo kidogo kwa kupunguza kisha kuacha kabisa kutumia drugs, maana ni aibu kwako, kwa mke, watoto, familia na hata kazi. ukishaweza hilo njoo kwenye pombe, kidogo kidogo utafika, tena kama hunywi kupindukia had kuwa chakari ndio inakua kazi rahisi zaidi. Kila la heri mkuu