GE2020 Wana Mbeya Tumekukataa Mh. Tulia

mi nilidhani bati tunazopewa anakunwa na shida zetu kumbe anatuwekea oil kweye vyuma atulainishe
 
yaaan hiki ki betina kimeanzisha group la kina mama wa kujifanya wanamsapoti lakini hao kina mama wamechanhishwa michango balaa pia kinajifanya kuungana na rapha group uyole kwa kuwa kimepewa ofisi pale...ila kiukweli betina nenda busokelo kwenu kwa mbeya mjini umefeli
 
Hizi ni kampeni za majitaka umebanwa mengi sana hapa Mbeya Kuhusu wananchi umemaliza hizi ni fitna ndogo wapigakura JF ila wapigakura tupo Mbeya
Tupo mbeya ww wa sumbawanga mpigie kura nkasi
 
John Heche,Msigwa,Zito,Lema na wakina Mdee wana umuhimu sana kuwepo bungeni kuichachfya hii serikali hata kama wananyimwa hela za kufanya wonders kwenye majimbo yao.LA SIVYO BUNGE LETU TUKUFU LITABAKI NA CCM AMBAO WAMEKUWA WAOGA NA KUJIPENDEKEZA ILI M/KITI WAO ASIWATUMBUE NA WATATUNGA SHERIA KANDAMIZI KWA WATZ ILI JAMAA ATUTAWALE MILELE.
TRUST ME.
 
Majimbo yote ya wapinzani yanatiwa njaa makusudi ili waondolewe 2020. KUNA MIPANGO YA KUWANG'OA WABUNGE WOTE WENYE KELELE NA AMSHA AMSHA PALE BUNGENI.
Una maana na gani?
Yaani nchi hii tumeigawa kuwa wale waliwachagua wapinzani wasiletewe maendeleo, vipi kodi zao wachukue au nazo waziache?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…