Mnataka kumteka ?Mwakanyamale huogopi kutekwa ?
Mnataka kumteka ?Mwakanyamale huogopi kutekwa ?
Big up mkuu.Maendeleo unayatafuta mwenyewe usitegemee kuletewa na mbunge utasubiri sana
MAENDELEO TUNA OMBA AU NI HAKI YETU, MBEYA HATUBEMBELEZI KIPATA MAENDELEO, TUNAKATWA KODI BWANA, GHWA KUGHU UGWE??Kama mkitaka maendeleo mbeya nendeni na Tulia coz anaushawishi mkubwa kwenye serikali hii ya awamu ya Tano, ila kama no ushabiki basi zichangeni karata deny vintage.
Ajabu kwa.kweli.Katika siasa tunachagua sura. Ingekuwa hivyo basi mdee asingechaguliwa
Huyo ni sawa na Mbunge wa Arumeru Magharibi GIBSON MEISEYEKI ambaye HAKUNA CHOCHOTE alichofanya.Hii nimeichota sehemu...
TULIA HATOSHI, NI KIRUSI KINACHOIGAWA CCM MBEYA
Mh. Tulia Ackson kazungukwa na watu wa ovyo. Kwanza ana haraka sana. Kitendo hiki kinawakera Mbeya tofauti na yeye na watu wake wanavyodhani.
Sawa anaweza kuwa mgeni kisiasa. Lakini hawezi kuwa mgeni wa hulka za wana Mbeya. Spidi yake inachefua kuliko kuvutia.
Amepania kubeba bendera ya CCM Mbeya mjini 2020. Lakini harakati zake zinapingana na ukweli halisi. CCM tukichanga karata vibaya 2020 tutasaga meno. Hili halihitaji mnajimu wa nyota.
Anataka kura za watu anaojitenga nao. Magari na ving'ora, misafara na mapikipiki ya nini Mbeya? Watu unaotaka wakupe kura zao hutaki wakukaribie. Unawaogopa wapiga kura wako?
Tulia hatakiwi hata kupandisha vioo vya gari akiwa Mbeya. Siasa ya Mbeya ni ngumu sana kwa sababu watu wanajielewa.
Hata askari anaowatumia hawalipwi posho. Na yeye hawapozi hata na maji ya kunywa. Utasema ni kazi yao kulinda viongozi. Lakini tambua pale anataka kuwawakilisha mpaka hao polisi.
Siasa hufanya kiongozi awe mtumwa wa wapiga kura. Tulia anataka wapiga kura wawe watumwa wake. Ni ngumu kumuuza 2020.
Tunajua anataka Uspika. Lakini Mbeya ya sasa inahitaji uwakilishi wa Mbunge mwenye mashiko. CCM tusimamishe mtu anayeuzika.
La sivyo hatuwezi kupambana na Chadema ya Mbeya yenye Sugu, kwa kumtumia Tulia. Tunajidanganya wana CCM, hilo litakuwa zoezi gumu kuliko lile la 2015.
Mh.Tulia ameigawa CCM. Kuna CCM 'Team Sugu' wa kimya kimya. Anamharibia hata Mh. Rais kwa kujinasibu kuwa kamtuma. Mbeya hawapendi kuburuzwa na hawataki mtu aliyetumwa, au tumesahau ya Bruno Mpangala?
Tulia hana muunganiko (connection) na Mbeya Jiji. Hata nyumba ya kuishi kaanza kujenga hivi sasa ili kuhalalisha achagulike. Tujue kwamba Mbeya sio wajinga. Hawawezi kuacha kumchagua Sugu, kwa sababu ya mgombea anayewaza Uspika. Tutachemka.
Lazima chama kiwe na watu wanaouzika. Wenye mashiko ndani ya Mbeya. Tukiwa vichwa ngumu kwa kushupaza shingo zetu. Sugu atarudi bungeni kwa kura nyingi zaidi kuliko rekodi yake ya 2015.
Ndimi mwana CCM,
Edwin Mwakanyamale,
Forest Mbeya.
Huyo hana ushawishi anelekezwa na yeye ndo anakuja kusema. Subirini mmchague muone.Ushawishi anao ndiyo kakarabati shule kongwe loleza kaomba fedha zimeongezwa loleza na iyunga: Kakarabati kituo cha afya Mwanjelwa serikali imeongeza fedha zaidi alimuomba waziri mkuu siku ya ziara akakubali
Kaomba wamachingabwatumie eneo la Airport Rais kakubali
Ha ha ha , mnawakataa wanyakyusa ambao ndio wameibeba Mbeya ! Ndio maana mnatawaliwa na wakinga akina mbilinyi.HUYO TULIA AENDE AKAGOMBEE KWAO TUKUYU MBEYA MJINI TULISHAGA WAKATAA WANYAKYUSA WANA VIDOMO DOMO SANAHALAFU NI AIBU KUONGOZWA NA MWANAMKE MJI MKUBWA KAMA MBEYA,AKAONGOZE WENZAKE WA MWAKALELI HUKO TUKUYU SIO MBEYA
MAENDELEO TUNA OMBA AU NI HAKI YETU, MBEYA HATUBEMBELEZI KIPATA MAENDELEO, TUNAKATWA KODI BWANA, GHWA KUGHU UGWE??
AKIJA PEKUPEKU TUNAMCHOMA NA MIBA YA HUKU.
KWANZA MAPOGRAMME MENGI YENYE MAPESA KIBAO YA KODI ZETU.
TUNGEMWONA WA MAANA KAMA HIZO PESA ANGEPANUA HII BARABARA TOKA UYOLE MPAKA MBALIZI, ANYWAY BASI HATA ANGEZIBA MASHIMO YA BARABARA HIZI MBEYA,
SUGU ALIWEKA TAA ZA BARABARANI, BASI ANGEKUJA HATA KUREKEBISHA..KUNA MAMBO MENGI YA KIMAENDELEO, ANGEKUJA NAYO TUNGEMWELEA LAKINI SI PLAN YAKE YA KUMWAGA MAPESA KWENYE MAT.TRUST SIJUI, SIJUI MAT.MARATHON SIJUI WEWEEEEEEE
SI BORA HATA SUGU KAJA NA UJENZI WA VYOO SHULE ZA MSINGI?!!
AISEE DADA HUKU JIPANGE AISEEE...SISI NI MBEYA HALISI.
TUNATAKA SERA ZA KUBADILISHA MBEYA..SI KUMWAGA HELA ILI TUKUPE UBUNGE..NA UKIUPATA JE,
RUSHWA HATUTAKI WANA MBEYA.
wewe nani kakwambia wanyakyusa wameibeba mbeya??,mara miamoja tutawaliwe na wakinga kuliko wanyakyusa,mbeya hakuna mnyakyusa atakuja kuchukua jimbo pale,kakomaeni kwenu busokelo hukoHa ha ha , mnawakataa wanyakyusa ambao ndio wameibeba Mbeya ! Ndio maana mnatawaliwa na wakinga akina mbilinyi.
Utakua umezaliwa jana wewe ,fuatilia historia vizuri, makabila yote ya mbeya walikua wanajiita wanyakyusa 😂😂😂, na wakinga kwao sio mbeya acha kukariri , hapo ndio unapojionesha uhalisia wa wasafwa wanawaamini wakinga kuliko wenyewe 😂😂😂wewe nani kakwambia wanyakyusa wameibeba mbeya??,mara miamoja tutawaliwe na wakinga kuliko wanyakyusa,mbeya hakuna mnyakyusa atakuja kuchukua jimbo pale,kakomaeni kwenu busokelo huko
utakuwa mnyakyusa wewe sio bure,eti makabila yoote ya mbeya walikuwa wanajiita wanyakyusa? umezaliwa mwaka 2000 lazima ndio kizazi cha shule za kata hiki,ni sawa kusema woote wanaokaa mwanza ni wasukuma,au makabila yoote ya kagera ni wahaya au makabira yoote ya mkoa wa kilimanjaro ni wachagga,Utakua umezaliwa jana wewe ,fuatilia historia vizuri, makabila yote ya mbeya walikua wanajiita wanyakyusa 😂😂😂, na wakinga kwao sio mbeya acha kukariri , hapo ndio unapojionesha uhalisia wa wasafwa wanawaamini wakinga kuliko wenyewe 😂😂😂
Swala la kukariri linajiendeleza , unapomfukuza Tulia ambae kwao mbeya , asigombee hapo mbeya , bali mkinga atoke njombe atawale hapo mbeya , kweli unaona chaji iko sawasawa kweli ? Utakua unyambuda unawasumbua sana , ndio maana hamjitambui.utakuwa mnyakyusa wewe sio bure,eti makabila yoote ya mbeya walikuwa wanajiita wanyakyusa? umezaliwa mwaka 2000 lazima ndio kizazi cha shule za kata hiki,ni sawa kusema woote wanaokaa mwanza ni wasukuma,au makabila yoote ya kagera ni wahaya au makabira yoote ya mkoa wa kilimanjaro ni wachagga,
Mbeya Mjini hatutaki kuongozwa na wanyakyusa sababu ya vimidomo vimidomo vyenu halafu kwenu ni tukuyu na kyela sio pale mjini,bora waongoze wakinga wa njombe sio nyie wanafiki sana pambaneni dada zenu waache kujichubua sio kuongoza mbeya
halafu mimi sio msafwa ila ni mkazi wa mbeya
😂😂😂unaukimbia usafwa, hiyo ndio tabia yenu , nenda huko.ulikotaja kilimanjaro au mwanza , au Arusha ukagombee kama utapita.utakuwa mnyakyusa wewe sio bure,eti makabila yoote ya mbeya walikuwa wanajiita wanyakyusa? umezaliwa mwaka 2000 lazima ndio kizazi cha shule za kata hiki,ni sawa kusema woote wanaokaa mwanza ni wasukuma,au makabila yoote ya kagera ni wahaya au makabira yoote ya mkoa wa kilimanjaro ni wachagga,
Mbeya Mjini hatutaki kuongozwa na wanyakyusa sababu ya vimidomo vimidomo vyenu halafu kwenu ni tukuyu na kyela sio pale mjini,bora waongoze wakinga wa njombe sio nyie wanafiki sana pambaneni dada zenu waache kujichubua sio kuongoza mbeya
halafu mimi sio msafwa ila ni mkazi wa mbeya
wamwakaleli mna maneno nyie mkishindwa kidogo mnatukana wasafwa,nakwambia mimi sio msafwa na nawakubali wasafwa kuliko wanyakyusa,vidomo domo sana nyie katazeni dada zenu waache umalaya😂😂😂unaukimbia usafwa, hiyo ndio tabia yenu , nenda huko.ulikotaja kilimanjaro au mwanza , au Arusha ukagombee kama utapita.
huyo labda awe mbunge wa ikulu maisha yake yote ila kwenye sanduku la kura hapiti.
Hao dada zenu wenye vigimbi nani anawataka? Hata wakifanya umalaya watafeli tu .myakyusa uliwai ona wapi kashindwa? Tulia mbelekwambele.achana na huyo anaekimbia usafwa wake.wamwakaleli mna maneno nyie mkishindwa kidogo mnatukana wasafwa,nakwambia mimi sio msafwa na nawakubali wasafwa kuliko wanyakyusa,vidomo domo sana nyie katazeni dada zenu waache umalaya