Wana-Masasi/Wamakua ndiyo kabila lenye watu ma-genius zaidi hapa Tanzania

mikila miwili

JF-Expert Member
Dec 14, 2021
563
555
NB; mtazamo huu haulengi kuyaweka nyuma makabila mengine, hapana. Ila unaleta chachu ya makabila mengine kupambana ili yatoe watu wenye akili mno.

Utafiti wangu unaanzia mbali kidogo, nikianza na 'designer' wa soko kuu la K/Koo, Amuli Beda. Huyu alikuwa ni mzaliwa wa Masasi.

Tukija Mtanzania wa kwanza kusoma kozi ya nursing, aliitwa ... Mchauru, huyu alikuwa Mwanamasasi pia.

Mifano hiyo miwili, tukiacha mifano mingi, ndiyo iliyofanya nikahitimisha kuwa hili ni kabila la watu wenye akili zaidi TZ.

Achilia mbali viongozi, pia ndilo kabila lenye watu wengi wanaotumikia taifa katika idara za usalama wa Taifa ikiwemo ulinzi wa viongozi mbali mbali(mtazamo binafsi)

Mwisho, sote tu Watanzania na tuunganishwe na Utanzania na siyo makabila. Akili za watu wa kabila hili ni matunda kwa Taifa letu lote.

Leo hii kuna Wasukuma wanaotulisha nyama na maziwa, Wamaasai n.k, tunajivunia nao kwani ni Watanzania wenzetu.
 
UKABILA UKABILA UKABILA

ndio maana JK NYERERE Alikataa haya mambo

Yaani mtu kabuni soko la kariakoo na kuwa sijui nesi wa kwanza ndio kigezo cha kuwa Genius?

Genius kumbe ndio wanapimwa kwa kutumia kigezo cha ukabila?

No hard feelings!
Don't take it too serious kaka. Nimeshatahadharisha, hapa hatuongei ukabila tunaongea Utanzania
 
Sio kweli mtoa mada mkoa wa mtwara ndo unatoa shule za mwisho kweny mitihani kitaifa miaka ya sasa, kufany kitu wa Kwanza haimaanish una akili labda ufany ugunduzi wa kitu fulan ambacho kina manufaa kwny jamii km tukiona ma professional waliogundua au wanasayansu waking Michael Faraday, Newton, Albert Einstein Hawa ndio tafsiri ya genius.
 
Hakuna makabila ya hovyo kama ya wafugaji.

Wafugaji akili hawana hata kidogo, kadri wanavyo mpiga ng'ombe fimbo ndivyo akili zao zinavyo pungua nakuwa kama Ng'ombe au makondoo.

Wamasai watabaki kuwa ni kivutio cha utalii basi na hawana ujiniazi au ushetaniazi... hawa wana vaa shuka bila chupi?
 
Sio kweli mtoa mada mkoa wa mtwara ndo unatoa shule za mwisho kweny mitihani kitaifa miaka ya sasa, kufany kitu wa Kwanza haimaanish una akili labda ufany ugunduzi wa kitu fulan ambacho kina manufaa kwny jamii km tukiona ma professional waliogundua au wanasayansu waking Michael Faraday, Newton, Albert Einstein Hawa ndio tafsiri ya genius
Mkuu umepaniki Sana Mtwara ina Makabila mengi yeye kaweka specific Masasi.Ila mifano yake haitushawishi kukubali hoja yake
 
Mkuu wamakonde ni jamii mbili tofauti ingawa wote asili yao Msumbiji na wote wanatoka mkoa mmoja Mtwara.Wamakonde Newala na Mtwara mjini na vijijini wamakua Masasi na Nanyumbu kwa Sasa.Mleta Mada ni mkabila.
Hapana, sijaweka ukabila hapo. Nimeweka Utanzania!
 
Back
Top Bottom