KERENG'ENDE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 398
- 31
Jamani tusishangae kigoma kuwa dubai maana alisema wakati wa kampeni alikuwa anatoa ahadi za papo kwa papo ambazo hazina record yoyote sasa hiyo ina utofauti gani na mtu akipumua......
Ina maana kigoma waliamini?