Joeli JF-Expert Member Apr 25, 2011 4,941 3,396 Jul 31, 2012 #1 nimetua mwanza tangu juzi, kwa wanajf mlio mwanza tunaweza onana live, tufahamiane zaidi
CharmingLady JF-Expert Member Apr 16, 2012 18,250 12,868 Jul 31, 2012 #2 tupo tupo kabisa,jeuri ya chama ati waaaa
FirstLady1 JF-Expert Member Jul 29, 2009 16,793 5,372 Jul 31, 2012 #4 Mie niko kwenye Mgomo Ngoja Sirikali ikubaliane na madai yetu nitakutafuta
figganigga JF-Expert Member Oct 17, 2010 25,483 54,845 Jul 31, 2012 #5 tupo na watu kibao na wengine waje ati yebaa, waaaa!. upo pande zipi mkuu?.Mia
CharmingLady JF-Expert Member Apr 16, 2012 18,250 12,868 Jul 31, 2012 #6 Barnabas Shadrack said: Karibu sana Mwanza. Click to expand... mkuu kumbe upo mza pia! habr za makambi? ama huko bdo hamjafungua kambi?
Barnabas Shadrack said: Karibu sana Mwanza. Click to expand... mkuu kumbe upo mza pia! habr za makambi? ama huko bdo hamjafungua kambi?
Joeli JF-Expert Member Apr 25, 2011 4,941 3,396 Jul 31, 2012 Thread starter #8 charminglady said: tupo tupo kabisa,jeuri ya chama ati waaaa Click to expand... hahahah jeuri ya chama?
charminglady said: tupo tupo kabisa,jeuri ya chama ati waaaa Click to expand... hahahah jeuri ya chama?
Joeli JF-Expert Member Apr 25, 2011 4,941 3,396 Jul 31, 2012 Thread starter #9 Barnabas Shadrack said: Karibu sana Mwanza. Click to expand... ahsante bana
Joeli JF-Expert Member Apr 25, 2011 4,941 3,396 Jul 31, 2012 Thread starter #10 FirstLady1 said: Mie niko kwenye Mgomo Ngoja Sirikali ikubaliane na madai yetu nitakutafuta Click to expand... kha? serikali haikubali madai ya mtu, si umeona mgomo wetu watu wameishia kupelekwa misitu ya mabwepande
FirstLady1 said: Mie niko kwenye Mgomo Ngoja Sirikali ikubaliane na madai yetu nitakutafuta Click to expand... kha? serikali haikubali madai ya mtu, si umeona mgomo wetu watu wameishia kupelekwa misitu ya mabwepande
Joeli JF-Expert Member Apr 25, 2011 4,941 3,396 Jul 31, 2012 Thread starter #11 figganigga said: tupo na watu kibao na wengine waje ati yebaa, waaaa!. upo pande zipi mkuu?.Mia Click to expand... bwiru, ila ntakuwa town most of the time
figganigga said: tupo na watu kibao na wengine waje ati yebaa, waaaa!. upo pande zipi mkuu?.Mia Click to expand... bwiru, ila ntakuwa town most of the time
Joeli JF-Expert Member Apr 25, 2011 4,941 3,396 Jul 31, 2012 Thread starter #12 Bi Amina said: Karibu ndugu!!! Click to expand... asante amina, wapi wewe
figganigga JF-Expert Member Oct 17, 2010 25,483 54,845 Jul 31, 2012 #13 MtotoSix said: bwiru, ila ntakuwa town most of the time Click to expand... poa. karibu sana mkuu. mia
MtotoSix said: bwiru, ila ntakuwa town most of the time Click to expand... poa. karibu sana mkuu. mia