Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,386
Hahaha nimecheka hakyanani, eti atoto atakuwa anawaza tu hela ya nauli. Uzuri kwao ni hatua chache tu kutoka samaki samaki, so hamna kupewa nauli teh tehHahaaa nitawapiga miofa ya kufa mtu siku hiyo, ila duuuh sipati picha atoto atakavyokuwa nawaza nauli nitawatoa kiasi gani mwisho wa siku!! anaweza awe nasi physically tu lakini kumoyo anawaza tumalize meeting fasta ajue how much she has earned today!!!
Last edited by a moderator: