Kione kwanza!
Kinatupa presha bure kumbe kipo hai!...
Huyo
Filipo unayemtaka ndio alichangisha mchango wako wa RIP, na alisema kuwa aliona live Chagonjwa akikuelekezea avocado!...Halafu bado unamuitaita hapa...unaniboa mimi! Ntasitisha huduma ya Gb ninazokurushia!