44mg44
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 2,135
- 2,143
Hasa hasa wanawake wa humu nawaomba sana mzidishe upendo kwa sis wanaume wa humu.
Ikitokea mwanaume wa humu kampenda binti wa humu apewe tunda haraka sana bila chenga chenga. Wanawake wa humu acheni kutubania k sis ni familia moja hatupaswi kunyimana! Sasa wanaume wa humu mnataka wakaoe wapi sasa kama mnawabania mbususu?
Wanawake mnachelewesha maendeleo, maana mnatubania sis ndugu zenu.
Kama mnachakujitetea njooni mjitetee na mjibu hoja zfuatazo:
a/ Kwanini hamtaki kuwapa watu wa JamiiForums?
b/ Kwanini hamtak kuolewa na Wana JF?
c/ Kwanini hamuon kuwa JF Ni mahari sahihi pa kupata mwenza Bora?
Ikitokea mwanaume wa humu kampenda binti wa humu apewe tunda haraka sana bila chenga chenga. Wanawake wa humu acheni kutubania k sis ni familia moja hatupaswi kunyimana! Sasa wanaume wa humu mnataka wakaoe wapi sasa kama mnawabania mbususu?
Wanawake mnachelewesha maendeleo, maana mnatubania sis ndugu zenu.
Kama mnachakujitetea njooni mjitetee na mjibu hoja zfuatazo:
a/ Kwanini hamtaki kuwapa watu wa JamiiForums?
b/ Kwanini hamtak kuolewa na Wana JF?
c/ Kwanini hamuon kuwa JF Ni mahari sahihi pa kupata mwenza Bora?