Wana jamvi leo ni jumapili ya mwisho kabla ya 25.10.2015 siku ya kumpigia kura Edward Ngoyai Lowasa kuwa rais wetu wa JMT kwa wakristu tuanze kumuombea leo na waislam watafanya hivyo ijumaa ijayo.
Mimi nimeshapanga, Tarehe 23.10.2015, nitafunga na kukesha ili kuombea uchaguzi, pamoja na ushindi wa kishindo kwa mgombea wetu Mh.Lowassa!
mtu huombewa maradhi sio utawawala
Wana jamvi leo ni jumapili ya mwisho kabla ya 25.10.2015 siku ya kumpigia kura Edward Ngoyai Lowasa kuwa rais wetu wa JMT kwa wakristu tuanze kumuombea leo na waislam watafanya hivyo ijumaa ijayo.
Mimi nimeshapanga, Tarehe 23.10.2015, nitafunga na kukesha ili kuombea uchaguzi, pamoja na ushindi wa kishindo kwa mgombea wetu Mh.Lowassa!
Mungu yuko upande wa UKAWA atatushindia.AMEN.
Mapenzi ya mungu ya kutuletea lowasa kuwa rais wa hawamu ya 5 yatimizwe
Enyi wafuasi wa shetani, acheni kumdhihaki Mwenyezi Mungu. Kama fisadi Lowassa ni mpango wa Mungu, basi hamna haja ya kufunga na kuomba, atatimiza. Tatizo ni kuwa Lowassa ni mpango wa nyumbu kwa kutumia jina la Mungu.
Wenye mapenzi mema amani iwe nanyi. Endeleeni kuomba ili Mwenyezi Mungu atupe ufahamu wa kuchagua kiongozi bora, kuliko kumlazimisha ampitishe Lowassa
Yani fisadi tumuombee awe kiongozi thubutu!
Enyi wafuasi wa shetani, acheni kumdhihaki Mwenyezi Mungu. Kama fisadi Lowassa ni mpango wa Mungu, basi hamna haja ya kufunga na kuomba, atatimiza. Tatizo ni kuwa Lowassa ni mpango wa nyumbu kwa kutumia jina la Mungu.
Wenye mapenzi mema amani iwe nanyi. Endeleeni kuomba ili Mwenyezi Mungu atupe ufahamu wa kuchagua kiongozi bora, kuliko kumlazimisha ampitishe Lowassa
Mkuu huo ndio uamuzi sahihi na kwa wakristu leo hii tunajazana makanisani kuombea uchaguzi na kumuombea mhes EDWARD NGOYAI LOWASA kushinda kwa kishindo na kuwa rais wa JMT kwa hawamu ya 5