Arabela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 3,127
- 2,227
oh no way.mi huwa naogopa sana kujifanyia experiment. eti nilisikia pia kuwa hata mtu akifunga upande wa khanga yake mjamzito hajifungui je ni kweli? na pia wanasema eti si vizur kuwatajia watu tarehe ya kujifungua?
me hiyo ya kukaa kizingitini ilinitokea wazee wanambia