Wana-JF, Msaada

Habari wana JF.

Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu.

Issue Iko hivi , binafsi sina dini yoyote hapa duniani.

Sasa naomba msaada.

Naomba Kama mnataka niingie kwenye dini-

Like huu uzi

Na endapo idadi ya likes zitafika 10,000+ katika huu uzi basi nitajiunga katika dini.

Kwa hiyo, ukiisha like huu uzi, unaruhusiwa pia kunipendekezea dini ya kujiunga.

Kama hutoi like usipendekeze dini ya kujiunga.

Asante sana naamini, mtanipatia likes zaidi ya 10, 000+ ili hatimaye nijiunge na dini mtakayo nipendekezea.

Ukarimu wenu jamani ili nijiunge dini.

Chanzo:
.Poise. (Mimi mwenyewe mwomba msaada.)
Unaposema huna dini ina maana una imani ya kutoamini dini sasa unataka nini?
 
Unaposema huna dini ina maana una imani ya kutoamini dini sasa unataka nini?



Ndiyo nahitaji likes zenu zaidi ya 10000 ili zinihamasishe .

Ila bila likes 10,000+ Basi sitajiunga aiseeeeeh.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom