Wana JF Hawa Wako Wapi?...

Wakuu yupo member mmoja hapa anajulikana kwa jina la Asha abdala. Je yuko wapi mtetezi wa chadema huyu?
Come back please asha abdalah.
We miss you at JF
 
Haya wana chadema wa JF mnaokotana okotana tu inakuwaje?!
 
Nlijuwa mm chadema kwa kuhangaikia "Ruzuku" siwawezi.
 
huyo mama kajaa information sio mchezo, ana deatil za almost kila kitu kinachohusu siasa za bongo
kweli tumemmiss
 
Nadhani mambo hayaendi vizuri kwa upande wa Chama chao sasa labda yupo kambini anaumiza kichwa...hehe......
 
Bubu Ataka Kusema......where are you?..........au ndio mmeshaingia summer vacation.........hamtaki bughudha..........all the best
 
Bubu Ataka Kusema......where are you?..........au ndio mmeshaingia summer vacation.........hamtaki bughudha..........all the best
tool yake ya ku copy na ku paste haifanyi kazi....
habari za uhakika NN yuko mjini hapa.......namtahadharisha kabisa asije na ukame wake wa majuu.....hatarudi
 
tool yake ya ku copy na ku paste haifanyi kazi....
habari za uhakika NN yuko mjini hapa.......namtahadharisha kabisa asije na ukame wake wa majuu.....hatarudi

Msogeze sogeze maeneo yetu yale........si ana return ticket ama? LOL
 
Msogeze sogeze maeneo yetu yale........si ana return ticket ama? LOL

Naona wataalam NN, FMES, W.J.Malecela, Penny, Mgonjwa wa ukimwi na baba watatu wote wameingia marikiti

 
JF wabaguzi, mbona mimi hamjaniuliza nilikuwa wapi? Duh yaani mpaka niwe machachari wa kugonganisha vichwa vyenu?
 
tool yake ya ku copy na ku paste haifanyi kazi....
habari za uhakika NN yuko mjini hapa.......namtahadharisha kabisa asije na ukame wake wa majuu.....hatarudi


Ngoja nimpigie simu..LOL

Ndio maana haonekani humu!!!, unajua wengi wao wakisha rudi huku access ya net inakuwa hawana.
 
Jamani I really miss m broher NN.To me he is the one who inspires me the most!

Anyone who has his number naomba ani PM.

THANK YOU ERY MUCH
 
Jamani I really miss m broher NN.To me he is the one who inspires me the most!

Anyone who has his number naomba ani PM.

THANK YOU ERY MUCH

Umeniacha, who is NN?
 
Naona wataalam NN, FMES, W.J.Malecela, Penny, Mgonjwa wa ukimwi na baba watatu wote wameingia marikiti


Mkuu huyo tunaye kule kwenye maeneo yetu.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…