Wana JF Hawa Wako Wapi?...

Rafiki yangu Mwiba amefulia...tehe tehe

Mkuu wangu mbona sitaki kuamini,, atakuwa labda ameenda kuandaa daftari la wapiga kura?? manake thread za CUF hazina 'defendants' mkuu, au ndo kusema....lol
 
Fundi Mchundo....where are you?...come back man

Balatanda..........good to see you man

Ogah, huyo alikuwa likizo ya kawaida tu na nadhani ametuambia hapa...so karibu sana mkuu....
 
Kichuguu
Kuhani
Dilunga
Pundit
Kiranga
Mkuu Mzee Mwanakijiji
Dua
Choveki
Mwiba
Defunkdelic or somethin....
Mkuu Mzee Kyoma
Kada Mpinzani
sam

.....na Wakuu wengine tafadhali msipotee.........Taifa linawahitaji......kwa saana tu


Enzi za hawa jamaa hapa JF hakukuwa na upupu kabisa. Unasoma issue zako mpaka unapenda, facts. Sasa hivi,,,,,upupu kibao,lundo..., si ajabu wakakimbia!
 
Enzi za hawa jamaa hapa JF hakukuwa na upupu kabisa. Unasoma issue zako mpaka unapenda, facts. Sasa hivi,,,,,upupu kibao,lundo..., si ajabu wakakimbia!

Mazee kama watakimbia mboni fresh tu? Kuna over 35 mil tanzanians kwani hao wana kitu gani sisi wengine hatuna? JF ni baba lao, hapa ni marejeo na mwisho wa reli Kigoma!

-Wikipedia
 
Mazee kama watakimbia mboni fresh tu? Kuna over 35 mil tanzanians kwani hao wana kitu gani sisi wengine hatuna? JF ni baba lao, hapa ni marejeo na mwisho wa reli Kigoma!

-Wikipedia
Tafuta kazi ufanye wewe Mpemba.....
...hio wikipedia inakinzana na max......yeye maxence melo anajiita kama JF founder na sio Co-Founder.....wiki inasema walikuwa wawili....
 
Tafuta kazi ufanye wewe Mpemba.....
...hio wikipedia inakinzana na max......yeye maxence melo anajiita kama JF founder na sio Co-Founder.....wiki inasema walikuwa wawili....


ah ....we kirusi umerejea? 😀
 
Mjomba wako wa kingereza cha dikshonary amesema hapa
katika wapemba woote wenye ninaowaona ni wewe na Dr salim ila leo unaanza kunisikitisha......unamuamini painkiller? hujang'amua tu kuwa alikuwa anajitutumua kwa shori Belinda....
 
katika wapemba woote wenye ninaowaona ni wewe na Dr salim ila leo unaanza kunisikitisha......unamuamini painkiller? hujang'amua tu kuwa alikuwa anajitutumua kwa shori Belinda....


Bwa ha ha ha....basi bana ulikuwa hujafungiwa..haya sikusikitishi tena.
 
Mazee kama watakimbia mboni fresh tu? Kuna over 35 mil tanzanians kwani hao wana kitu gani sisi wengine hatuna? JF ni baba lao, hapa ni marejeo na mwisho wa reli Kigoma!

-Wikipedia


Hawa wana habari,,,, wengine hamna. umewahi kufikiria maana ya...home of great thinkers? 35ml yako ingekuwa hivyo, Wa-TZ tungeshahamia Mars siku nyingi!
Goodluck
 
Nilikuwa busy na promote Ali Kiba's show chicago ...so sikuingia jf kwa takriban weeks kadhaa..Nimeanza kuingia jana maana show is done na Ali Kiba karudi zake bongo...lakini simuoni NN!...kwani amekuwa banned au?......

NN come out come out wherever you are....cuppy miss you pookie!....
 
I expected YoYo to show some respect to our ladies after the 'LOOONG VACATION'!............
 
I expected YoYo to show some respect to our ladies after the 'LOOONG VACATION'!............

Tell em!.....yupo so pathetic you know...alafu anasema kuwa anajaribu kuchange...alikuwa anamdanganya sir god nini?....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…