Nawe upo kona hii? una matatizo gani ya mahusiano?kusaidieje ANTA??
Wakifika katika section ya mahusiano, mapenzi na urafiki. Kila mtu........................
Mapenzi bwana!? Hii ndo africa.
ha ha ha, nilijua hapa hukosi, unataka kuomba ushauri nini, hebu nawe sema, ndoa imekuchachia nini?Unausingizi nenda kalale wewe!
Hujaeleweka.
Malizia sentensi yako.
hii kona naona nawe inakuvutia sana. lala mama.
kweli napenda, kumbe ulielewa? mbona ulizuga sasa. usiku mnene eti.sana tu. NAni asie penda
mahusiano na wengine,
Urafiki pamoja na mapenzi?
Hivi kweli we hupendi hayo mambo?
kweli napenda, kumbe ulielewa? mbona ulizuga sasa. usiku mnene eti.
Wakifika katika section ya mahusiano, mapenzi na urafiki. Kila mtu........................
Mapenzi bwana!? Hii ndo africa.
ha ha ha, nilijua hapa hukosi, unataka kuomba ushauri nini, hebu nawe sema, ndoa imekuchachia nini?
Hii ni field pana sana na inagusa almost kila mtu. Ukiona mtu hana Mahusiano na kiumbe mwenzie basi ujue ana kasoro za kibailojia. Sasa upana huu, pia huja na matatizo kadha wa kadhaa ambayo sisi ma-Greatthinker huwa tunayajadili humu ili kupunguza machungu ya maisha.
HP