Du,
Huyu nae UKIMKOPA anakomaa kudai hadi unaweza kuamua kubadilisha njia!
Jamani, si yalikuwa maelewano ya kawaida tu?, kwanini umwone mwenzio kama mkosefu hadi kumganda hivyo?
Jamani mm ni mwana AR niwekeni kwenye orodha ila niko nje ya AR ila nitarudi soon. Kama nafasi ya mweka hazina iko wazi naiomba. Preta, PJ, lily flower nipigieni kampeni.
Jamani mm ni mwana AR niwekeni kwenye orodha ila niko nje ya AR ila nitarudi soon. Kama nafasi ya mweka hazina iko wazi naiomba. Preta, PJ, lily flower nipigieni kampeni.
wallah nafasi ya mweka hazina umeipata......mwenye nafasi hiyo anazengua sana siku hizi.......mambo yake vululuvululu....kikao kijacho umepita......BTW nimefurahi kukuona tena
Du,
Huyu nae UKIMKOPA anakomaa kudai hadi unaweza kuamua kubadilisha njia!
Jamani, si yalikuwa maelewano ya kawaida tu?, kwanini umwone mwenzio kama mkosefu hadi kumganda hivyo?
Du,
Huyu nae UKIMKOPA anakomaa kudai hadi unaweza kuamua kubadilisha njia!
Jamani, si yalikuwa maelewano ya kawaida tu?, kwanini umwone mwenzio kama mkosefu hadi kumganda hivyo?