Watu mnakutana kwa Mwamvuli wa JF wakati wenye-JF wenyewe hawajui.Ok, mnaweza kudai JF ni ya wote ndio kwani nanyi ni member, but hii sio forum ambayo ipoipo tu, ina taratibu zake.Hata kama hamzungumzii forum, but identity yenu hapo ni JF-members, Ni angalizo tu wakuu, otherwise Mods wanaweza wakanirekebisha.Wabillah Tawfiq