mwana wa africa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 549
- 128
kama wana igunga hamjapata mishahara kuweni makinii mana mishahara inaweza kuachiwa jumapili ili watumie muda wao mwingi kwenye foleni za mabenki ili wasiweze kupiga kura. wasiawsi huu ni kwa sababu sehemu nyingi mishahara bado haijatoka kwa wafanyakazi wa serikali.