Kumbe Karume hajui kutofautisha kati ya Walrus na Fish. zomba (R.I.B), Ritz na Rejao wamelaliwa pia? Manake kusachiwa na askari wa kike wamezua kimbembe ila kulaliana na nguo za chama hamna shida.
Kama kukaa chini wanalaliana hivi, je wakiwa wamekaa kwenye viti watashangiliaje??
Au ndo mtu kupakatwana kugongwa ngozi kimya kimya.
Hakyamungu nikiona mke wangu amelaliana na mtu hivyo nitamBarlow mtu bila kukusudia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.