Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 887
- 4,133
Kanda ya Ziwa wanapiga kelele kuhusu Makonda na namna anavyolazimisha kila mtu atii na kuongozana naye kwenye misafara.
Pamoja na elimu za viongozi wakiwemo wakuu wa mikoa na wilaya bado wamekuwa wakipeleka magari yao kwenye msafara kumpokea, kusimama jukwaa wapopolewe kisha wasindikize avuke mpaka wa wilaya au mkoa ndipo wapumue.
Jambo ajabu wanaamini wasiopenda kwenye mikutano yake watatumbuliwa. Swali lakujiuliza, wataishi hivi hadi lini? Kwanini wasitafute kazi za ziada wawe huru?
Pamoja na elimu za viongozi wakiwemo wakuu wa mikoa na wilaya bado wamekuwa wakipeleka magari yao kwenye msafara kumpokea, kusimama jukwaa wapopolewe kisha wasindikize avuke mpaka wa wilaya au mkoa ndipo wapumue.
Jambo ajabu wanaamini wasiopenda kwenye mikutano yake watatumbuliwa. Swali lakujiuliza, wataishi hivi hadi lini? Kwanini wasitafute kazi za ziada wawe huru?