Wana CCM wachoma kadi Monduli na Arumeru

Wana CCM wachoma kadi Monduli na Arumeru

Ally Bananga na Ole Millya waliona mbali.Naona mzee akisema na tukose wote. Atakuwa mwanachama mtifu wa CDM akikaa na mzee Mtei kama wazee wa Chama tuuuu
 
watu wenyewe hawajai hata kwenye kiganja, hawana hata effect hao watu wenyewe wanakalia kuchunga ngombe kula watapiga saaa ngapi za kanda ya ziwa zinatosha kabisa kumpa Dr magufuri uraisi

Sasa kuchunga ng'ombe si ndio utamaduni wa wamasai ,au ulitaka wafuge Rasta na kucheza kiwanzesa??? Halafu kula haipigwi kura ndio inayopigwa
 
Ally Bananga na Ole Millya waliona mbali.Naona mzee akisema na tukose wote. Atakuwa mwanachama mtifu wa CDM akikaa na mzee Mtei kama wazee wa Chama tuuuu

....olesendeka kashapoteza jimbo Ole Millya ndani ya mjengo
 
Waliorudisha kadi za CCM mpaka mda huu ni wengi sana na mpasuko ndani ya chama ni mkubwa sana.
 
​Wananchi wakichoma kadi za magamba,kwa kuchoshwa na chama cha ccm ambacho hakina msaada katika jamii

SOURCE:VIDEO YAJIELEZA
 
Last edited by a moderator:
Aiseeeeeeee!!!!! Thanks for sharing! This is a must see!!!!!!!
 
Back
Top Bottom