Wana CCM wachoma kadi Monduli na Arumeru

Hao wamasai hawana lolote, wachome tu, watake wasitake Raisi Magufuli amesema atawatetea wananchi wote, wale wa CCM na hata wa upinzani!!!

Siasa na sheria za nchi hii ni vichekesho, yaani Magufuli tayari anajiona ameisha kuwa rais au kwa sababu anapeperusha bendera ya CCM basi anaona Tz ni mali ya CCM?

Isitoshe kwa nini huyu jamaa anaanza kampeni kabla ya wakati na LILE RUBBER STAMP LIITWALO 'TUME YA UCHAGUZI' LIKIANGALIA?

Kweli nchi hii vichekesho, sana sana hiki chama kinachomaliza muda wa kutawala kivichekesho.
 
watu wenyewe hawajai hata kwenye kiganja, hawana hata effect hao watu wenyewe wanakalia kuchunga ngombe kula watapiga saaa ngapi za kanda ya ziwa zinatosha kabisa kumpa Dr magufuri uraisi

Kauli kama hizi zilimponza Kikwete na kupunguza ushindi wake kutoka 80% hadi 60%

Mwanasiasa yeyote makini hawezi kuzarau kura hata iwe ya mtu mmoja, atapigana kuipata let one kura za makundi ya watu.
 
Vijana amkeni kuitetea UKAWA kwa maslahi ya taifa hili,msikubalili ccm wawazidi nguvu humu mitandaoni
 
saiz wanachoma kadi, baadae wataichoma ccm yenyewe itabakia jina tu kwamba ilikuwepo
 
DSC00634.jpg
 
Chaikavu,sahihisha basi jiografia yako,KASKAZINI anatoka Pombe Magufuli,huko ni Kaskazini Mashariki.Pole nakusahihisha tu.

Vinginevyo waacheni waendelee kuzichoma ni haki yao ya msingi.
 
Chaikavu,sahihisha basi jiografia yako,KASKAZINI anatoka Pombe Magufuli,huko ni Kaskazini Mashariki.Pole nakusahihisha tu.

Vinginevyo waacheni waendelee kuzichoma ni haki yao ya msingi.

Wasubiri tu kuongozwa na Tingatinga, mpaka nawaonea huruma!Fedha walizochukua wazirudishe!
 
CCM ilikufa zamani Monduli tangu fisadi alipokuwa mbunge. Magufuli amerudisha matumaini mapya ya kukihuisha upya. Makongoro atakuja kukirudisha chama kwa wenye chama
 
kama walijiunga na chama sababu ya fisadi lowasa pole yao.
 
Back
Top Bottom