Wana CCM wachoma kadi Monduli na Arumeru

Wana CCM wachoma kadi Monduli na Arumeru

Hata kidogo kilichobaki chakimbilia UKAWA.

Vita ya panzi furaha ya Mwewe.
 
Ukawa wafanye hima kutupa mgombea mapambano yaanze ccm na magufuli wao sasa wanapanga strategy za ushindi including la mikono
 
Hata kidogo kilichobaki chakimbilia UKAWA.

Vita ya panzi furaha ya Mwewe.

waache wa ende tu, hata kanda ya ziwa(Tabora,Shiyanga,Mwanza na Kagera) wamefanya hivyo hivyo, kilichokuwa chadema kimekwenda CCM, sasa nani kaumia?
 
Watu hao niwapuuzi kama Mungu wao Lowassa
 
Ukawa wafanye hima kutupa mgombea mapambano yaanze ccm na magufuli wao sasa wanapanga strategy za ushindi including la mikono

....Mkuu tunawaletea amphibian tank (Rais UKAWA) hilo tingatinga la kichina rufiji halivuki
 
waache wa ende tu, hata kanda ya ziwa(Tabora,Shiyanga,Mwanza na Kagera) wamefanya hivyo hivyo, kilichokuwa chadema kimekwenda CCM, sasa nani kaumia?

....hizo ni ndoto wasukuma tumebaki na mashimo dhahabu imeporwa ...shokaga hange kajipange
 
sidhani kama solution ni kuchoma kadi tu... hata wasipopiga kura nape ashasema watashinda hata goli la mkono!!hongera maguful kwa kuokota dodo
 
Back
Top Bottom