Wana CCM wachoma kadi Monduli na Arumeru

Wana CCM wachoma kadi Monduli na Arumeru

Lowassa anahamia chadema na habari za ndani ni kuwa anakwenda monduli kugombea ubunge kupitia chadema
 
Habari za lowassa kwa sasa ni sawa na ngera. Tunajadili mambo mengine siyo lowassa.
 
Lowassa anahamia chadema na habari za ndani ni kuwa anakwenda monduli kugombea ubunge kupitia chadema

Kigogo bwana ,asubuhi hii wamekupa MATANGO pori?Hivi unadhani Lohassa ataondoka ChiChiEM?Hata kwa fimbo haondoki,amesema wasiomtaka waondoke.................Ataimaliza CHICHIEM yetu taratibu kama kansa inavyokula mifupa.............
 
Sio Monduli tu bali gazeti limeandika wakazi wa Monduli,Arusha wachoma kadi za CCM.

Nimeona heading ya hilo gazeti na hivyo ndivyo linavyosomeka.
 
Hao wamasai hawana lolote, wachome tu, watake wasitake Raisi Magufuli amesema atawatetea wananchi wote, wale wa CCM na hata wa upinzani!!!

Hayo si yanasemwa siku zote..?? Mi niliiona ahadi ya grid ya taifa Songea, lakini hadi leo kimyaaa hakuna cha upembuzi yakinifu
 
Sio Monduli tu bali gazeti limeandika wakazi wa Monduli,Arusha wachoma kadi za CCM.

Nimeona heading ya hilo gazeti na hivyo ndivyo linavyosomeka.

HALAFU KUNA MAMBWA YANADAI HAKUNA MPASUKO CCM, NA HATA HABARI ZA LAKE ZONE ATI WATU WAMEFURAIA KUCHAGULIWA MAGUFURI NI UZUSHI pia KICHEKESHO KISOKIFANI, SAFI WANA MONDULI LZM TUWAONYESHE HASIRA ZETU HAWA MASISIEMU
 
shida c rais wa kanda ya ziwa ai msukuma bali ni rais bora atakae toka nje ya mfumo mwingine make ccm hawana jipya ila tu msio ona mbali mmesahau matatizo yt ya ccm kisa ukada na ukabila hiyo ni akili finyu na uvivu wa kufikili.tulien mfikili kwnza na muigeuze shilingi.asanten sn
 
CCM wajipange sana huko,la sivyo majimbo yote yatachukuliwa na UKAWA.

Daah!naona ukawa wanawapeleka mchaka mchaka sana CCM.
 
Nilishasemaga hapa mara nyingi,watz ni watu wa kusahau na kurubuniwa kama malaya.
CCM imeharibu nchibna hakuna anayetoka ndani ya CCm anaweza kubadilisha mwelekeo hata lowassa mwenywe hawezi. Kwanini tujidanganye??
Nilikuwa namsupport lowassa nikijuwa kuwa atasababisha tafrani ndani ya CcM,na bado. We need more news,scary news watu wabadilike.
Tunataka nchi mpya yenye mtazamo mpya na usawa. Kwanza hata demokrasia aliifanya kikwete sio demokrasia,ale ni janja kulindana na kubebana na akashindwa.
Lowassa kama mjanja aivuruge CCm kama kukosa wakose wote. Kwa upande wa wananchi tutapata mpinzani na mambo yataenda sawa tu.
 
Kigogo bwana ,asubuhi hii wamekupa MATANGO pori?Hivi unadhani Lohassa ataondoka ChiChiEM?Hata kwa fimbo haondoki,amesema wasiomtaka waondoke.................Ataimaliza CHICHIEM yetu taratibu kama kansa inavyokula mifupa.............

Hapo sawa mkuu. Akijitoa ccm atakuwa amejiharibia sana. Dawa ni kuharibi ndani ya CcM. Mwisho wa kazi labda mwenyeketi aseme tumfukuze.
 
Mimjh nilikua team lowasa sana,lakini safari yangu ya matumaini imeirhia hapa baada 2 kumpata john,ambaye pia namkubali sana,so kama ataamua kwenda huko atakako aende salama lakini sisi huko hatuko nae.namshauri atulie atafakari kwa kina kwa manufaa 2 kulinda heshima yake!hawa wapambe wanaoamka alfajiri kwake masaki kabla hata hajaamka wanataka hela zake tu.angekua amepita membe alikua bado ana nafasi kubwa hata angeenda upinzani,na ndo ilikua matarajio ya ukawa,
 
Nilishasemaga hapa mara nyingi,watz ni watu wa kusahau na kurubuniwa kama malaya.
CCM imeharibu nchibna hakuna anayetoka ndani ya CCm anaweza kubadilisha mwelekeo hata lowassa mwenywe hawezi. Kwanini tujidanganye??
Nilikuwa namsupport lowassa nikijuwa kuwa atasababisha tafrani ndani ya CcM,na bado. We need more news,scary news watu wabadilike.
Tunataka nchi mpya yenye mtazamo mpya na usawa. Kwanza hata demokrasia aliifanya kikwete sio demokrasia,ale ni janja kulindana na kubebana na akashindwa.
Lowassa kama mjanja aivuruge CCm kama kukosa wakose wote. Kwa upande wa wananchi tutapata mpinzani na mambo yataenda sawa tu.

Tatizo kubwa CCM hawakubaliani na MAWAZO yako.Wengi wanamawazo mgando kwamba bila CCM Tanzania haiwezekani.............Wanajua kabisa hata Magufuli hawezi kuisafisha serikali,ni wale wale kwa mfumo ule ule,watakaopata shida ni wadogo wasio na impact yoyote kwenye UCHUMI wa TAIFA.

Ukishasikia kiongozi anaona CHAMA kwanza TAIFA baadaye basi huyo hata upige hawezi kutusaidia kamwe.Huyu Mafisadi wanajua Price tag yake na ndiyo maana kuna wengine wamefanya na sherehe.

Siyo mwanaCCM lakini kwenye ile list ya waliotangaza NIA wapo waliowasafi na mapungufu yao zaidi ni kwenye utendaji wa kupendelea upande wa serikali,lakini nina uhakika wangeweza kufanya vizuri zaidi ya huyu waliyemteua.
 
Mbona Lowassa hajachoma yake bado?? Kweli hao ni wa kupuuzwa...wanatumika
. Hakika wanatumika, lakini pia kwa uelewa wao mdogo, wako huko waliko; hawajui kwa undani yaliojiri hadi kupelekea Shujaa wao kukatwa. They feel cheated.
 
Back
Top Bottom