Wana CCM 3000 wajiunga CHADEMA

Wana CCM 3000 wajiunga CHADEMA

Jana wakati James Ole Milya akizindua kampeni zake huko Simanjiro katika mkutano mkubwa kuwahi kushuhudiwa huku Lema akiwa amealikwa wanachama wa CCM 3000 walitangaza kukihama chama hicho na kujiunga na CHADEMA hili ni jimbo la Ole Sendeka mkoani Manyara.

Duuuuu,maccm mwaka huu mbili haingii moja imegoma
 
sendeka ni mfa maji na hata yeye anajua.
Lakini pia hata magufuli hawezi shinda na ndomana hata mke wake kagundua hilo kamsusa jamaa
 
Jana wakati James Ole Milya akizindua kampeni zake huko Simanjiro katika mkutano mkubwa kuwahi kushuhudiwa huku Lema akiwa amealikwa wanachama wa CCM 3000 walitangaza kukihama chama hicho na kujiunga na CHADEMA hili ni jimbo la Ole Sendeka mkoani Manyara.

Hizi ni habari njema kabisa kwa wana mabadiliko
 
Ole Milya ni Mwanasheria Mkubwa kaskazini, Ole Sendeka ni Secondary tu, ----- la kulia bungeni

Hilo jimbo tayari limeshaingia mikononi mwa ole miliya na olesendeka mjengo atausikia kupitia luninga
 
Kuhama toka chama kimoja kwenda kingine ni haki ya raia. Kikubwa mbele yetu ni kura zitapigwa upande gani? Na hilo ndilo litakaloamua aidha kuna mabadiliko au hakuna.

...wanafanya biashara haramu bado hawalipi kodi nani atahoji na hao ndiyo wadhamini wa bodi jasho analila mzungu wachimbaji wadogo wa migodi au unataka Ivan aje awe mfuasi wa Panyarod!?...
 
Atakosa KURA kwa sababu zifuatazo;

☞Ameleta fitina na kusababisha kiwanda cha Rotiana kilichokuwa kikisindika Nyama, maziwa na mazao yake kufungwa kiwanda kiliajiri wana-Simanjiro zaidi ya 2000 kufungwa na hivyo amesababisha halmadhauri kukosa Kodi. Ukosefu wa ajira na kukwama kwa shughulu nyingine za maendeleo

☞ Aliahidi kupeleka maji Orkesumet (makao makuu wa wilaya) maji kutoka Ruvu Remit lkn hajafanya kama alivyoahidi. Nasisitiza aliahidi mwenyewe kwa utashi bila shuruti.

☞ Alisabisha kampuni ya simu kukataa kujenga mnara wa mawasiliano eneo la naberera na kung'ang'ania mnara ujengwe eneo karbu na kijijini kwake jambo ambalo halikuafikiwa na Kampuni.

☞ Anakataza maendeleo kwa baadhi ya maeneo akiwaaminisha wamasai kuwa maeneo hayo yakipata maendeleo yatavaniwa na waswahili, ujinga mtupu.

☞ Anaamini kwa mahitaji ya maji ng'ombe kwanza binadamu baadae. Marufuku kukaribia kuchota maji wakati ng'ombe wana kiu!
 
Kuhama toka chama kimoja kwenda kingine ni haki ya raia. Kikubwa mbele yetu ni kura zitapigwa upande gani? Na hilo ndilo litakaloamua aidha kuna mabadiliko au hakuna.

Ccm chaliiiiiiiiiiii
 
Mmekuwa mkihubiri mabadiliko, lakini nyie mnaotaka mabadiliko hamtaki kubadilika, mko vile vile, matendo yenu ni yale yale

...pesa sherehe za muungano hamzingati itifaki wanafunzi mnawachoma jua na hawana madawati!? Mnalipa mishahara hewa na hamlipi mafao ya Walimu mlimpiga Warioba alivyowaletea rasimu!...
 
Back
Top Bottom