Wana CCM 3000 wajiunga CHADEMA

Wana CCM 3000 wajiunga CHADEMA

Atakosa KURA kwa sababu zifuatazo;

☞Ameleta fitina na kusababisha kiwanda cha Rotiana kilichokuwa kikisindika Nyama, maziwa na mazao yake kufungwa kiwanda kiliajiri wana-Simanjiro zaidi ya 2000 kufungwa na hivyo amesababisha halmadhauri kukosa Kodi. Ukosefu wa ajira na kukwama kwa shughulu nyingine za maendeleo

☞ Aliahidi kupeleka maji Orkesumet (makao makuu wa wilaya) maji kutoka Ruvu Remit lkn hajafanya kama alivyoahidi. Nasisitiza aliahidi mwenyewe kwa utashi bila shuruti.

☞ Alisabisha kampuni ya simu kukataa kujenga mnara wa mawasiliano eneo la naberera na kung'ang'ania mnara ujengwe eneo karbu na kijijini kwake jambo ambalo halikuafikiwa na Kampuni.

☞ Anakataza maendeleo kwa baadhi ya maeneo akiwaaminisha wamasai kuwa maeneo hayo yakipata maendeleo yatavaniwa na waswahili, ujinga mtupu.

☞ Anaamini kwa mahitaji ya maji ng'ombe kwanza binadamu baadae. Marufuku kukaribia kuchota maji wakati ng'ombe wana kiu!

Peperusha Bendera, Viva Roma Viva!
 

Attachments

  • 1442430697436.jpg
    1442430697436.jpg
    16.4 KB · Views: 402
CCM imebaki Same tu Kaskazini. The least developed district in the north
 
Yaaaaaaani huku umasaini hawataki kujua magufuli ni nani woooooote ni lowasaa
 
Natumaini ccm itakuwa chama cha upinzani chenye wabunge 7
 
Jana wakati James Ole Milya akizindua kampeni zake huko Simanjiro katika mkutano mkubwa kuwahi kushuhudiwa huku Lema akiwa amealikwa wanachama wa CCM 3000 walitangaza kukihama chama hicho na kujiunga na CHADEMA hili ni jimbo la Ole Sendeka mkoani Manyara.
Vyema sana!
 
Jana wakati James Ole Milya akizindua kampeni zake huko Simanjiro katika mkutano mkubwa kuwahi kushuhudiwa huku Lema akiwa amealikwa wanachama wa CCM 3000 walitangaza kukihama chama hicho na kujiunga na CHADEMA hili ni jimbo la Ole Sendeka mkoani Manyara.

Wabaguzi wa kasikazini tutawazibiti
 
kauli za wanaccm kuzungumza kwamba chadema ni chama cha kikabila au cha ukanda wakati wana chadema hawajawai kuzungumza mambo hayo hadharani ni kuzidi kukipaisha chadema maana kama alivyosema nyerere kwa kuwabagua chadema wanabaki salama lakini ccm inazidi kusambaratika maana wanaobaguliwa wote watakuwa wamoja na wale wnaowabagua wenzao lazima kuna baadhi wataona kwamba ubaguzi haufai watajiunga na wabaguliwa ndio kinachofanyaika sasa
 
Wenzetu jana walituambia siku zinavyoenda 69.% itaongezeka. Naamini itaongezeka hadi 49.3%
 
Back
Top Bottom