Jana wakati James Ole Milya akizindua kampeni zake huko Simanjiro katika mkutano mkubwa kuwahi kushuhudiwa huku Lema akiwa amealikwa wanachama wa CCM 3000 walitangaza kukihama chama hicho na kujiunga na CHADEMA hili ni jimbo la Ole Sendeka mkoani Manyara.
Jana wakati James Ole Milya akizindua kampeni zake huko Simanjiro katika mkutano mkubwa kuwahi kushuhudiwa huku Lema akiwa amealikwa wanachama wa CCM 3000 walitangaza kukihama chama hicho na kujiunga na CHADEMA hili ni jimbo la Ole Sendeka mkoani Manyara.
Ole Sendeka atatazama bunge TBC THIS TIME.CCM OUT
nilikuwepo hapo, yani sendeka asipotezee ela zake palee
nadhani ni makosa kuwalinganisha wapenda na hao wasaka tonge. wale jamaa kiboko. wakiamua hawarudiki nyuma.Ccm mikoa hiyo soon itafutika kama pemba
Ukawa for ever, tupia picha kaka.