Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,628
Wana bodi nakuja Bongo sitaki kupanga wala kuishi guest ajili ya kubana matumizi nahitaji Mobile house, kwa bei nzuri zinapatikana wapi DSM, nahitaji hicho kitu Kiwanja kiko salasala
Ntashukuru km itakuwa nzuriMobile tented house labda
Naweza ibadili kuwa living house?Labda mobile toilet sio house
Akhsante Mkuu[SUB]Duh..., Karibu sana...Nyumbani ni nyumbani.[/SUB]
Wana bodi nakuja Bongo sitaki kupanga wala kuishi guest ajili ya kubana matumizi nahitaji Mobile house, kwa bei nzuri zinapatikana wapi DSM, nahitaji hicho kitu Kiwanja kiko salasala
Asante Mkuu, nina maana ya caravan Mobile home trailers, nina taka moja tu, maarufu South Africa thaba ichu! km Caravan,Mkuu kama unaongelea zile tent bei yake sio ya kitoto,andaa 5000 dollars hadi kukamilika.
Sioni sababu ya wewe kukwepa gharama ya lodge ya elfu 20 kisha uje kupata hasara ya pesa nyingi.
Asante Mkuu, nina maana ya caravan Mobile home trailers, nina taka moja tu, maarufu South Africa thaba ichu! km Caravan, View attachment 1567390
Nunua trailer utengeneze yako..simpo..ila kuikuta mtu anauza bongo ..hapana .huwez pata..tena unanunua kontena zile kubwa za 20 ft fund anakudesignia kitu safi kabisaAsante Mkuu, nina maana ya caravan Mobile home trailers, nina taka moja tu, maarufu South Africa thaba ichu! km Caravan, View attachment 1567390
Duu, kweli dunia ipo mbali Sana.!Asante Mkuu, nina maana ya caravan Mobile home trailers, nina taka moja tu, maarufu South Africa thaba ichu! km Caravan, View attachment 1567390
Poa baba conteiner ntapata wapi Bongo, na pia hii cont. ya ft 20 inaweza kuwa bei gani kwa mahesabu ya harka?Nunua trailer utengeneze yako..simpo..ila kuikuta mtu anauza bongo ..hapana .huwez pata..tena unanunua kontena zile kubwa za 20 ft fund anakudesignia kitu safi kabisa
Zipo nying tu...sina uhakika sana bei zake ila niliskia ukiwa na m8 unaweza pataPoa baba conteiner ntapata wapi Bongo, na pia hii cont. ya ft 20 inaweza kuwa bei gani kwa mahesabu ya harka?
ungempeleka ziwani.Dayaspora na mbwembwe zenu...alirud dogo eti hawez kuoga maji ya kwenye ndoo amezoea shower!mbwembwe nyingiii(jokes)
Wala sikusumbuka naye...alinitembelea kwangu si unajua nyumba za kupanga ...maji yanatoka kwa ratiba..yakikatika haogi eti hawezi kuoga maji ya ndoo...Sasa hivi huku machimboni mbona anaoga ya lambo😀😀! Chezea!ungempeleka ziwani