utiyansanga
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 213
- 7
Jana kumemalizika mashindano ya soka kwa nchi za bonde la mto nileambapo timu ilshindwa vibaya lakini ikaambuliwa donge nono 1la sh.75,000,000.
Mashindano hayo yamemalizika kwa amni lakini swali la kujiuliza je mashindano haya hayana implication yoyote kiuchumi na kisiasa kwa kuzingatia mvutano wa chini 2 uliopo kati ya Masri na nchi zingine zilizopo katika bonde hili kuhusu matumizi ya mto Nile?
Mashindano hayo yamemalizika kwa amni lakini swali la kujiuliza je mashindano haya hayana implication yoyote kiuchumi na kisiasa kwa kuzingatia mvutano wa chini 2 uliopo kati ya Masri na nchi zingine zilizopo katika bonde hili kuhusu matumizi ya mto Nile?