Wamisri wana nia gani na sis!

Wamisri wana nia gani na sis!

utiyansanga

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2010
Posts
213
Reaction score
7
Jana kumemalizika mashindano ya soka kwa nchi za bonde la mto nileambapo timu ilshindwa vibaya lakini ikaambuliwa donge nono 1la sh.75,000,000.
Mashindano hayo yamemalizika kwa amni lakini swali la kujiuliza je mashindano haya hayana implication yoyote kiuchumi na kisiasa kwa kuzingatia mvutano wa chini 2 uliopo kati ya Masri na nchi zingine zilizopo katika bonde hili kuhusu matumizi ya mto Nile?
 
Ni maji ya mto nile ndugu yangu!
 
Pengine wanataka kujenga ukaribu zaidi ili tulegeze kamba katika kuwabana juu ya matumizi ya mto Nile. So iyo ni takrima au hongo ili watulainishe kwenye matumizi ya mto.
 
Jamani, aliyeshindwa anapewa zawadi?? Kwa vyovyote watakavyoelezea lakini tafsiri yake ni hongo. Sasa kwa ajili nini?? tusubiri tuone.
 
Sijaona tatizo lolote maana hawa jamaa wamegundua ni vizuri zaidi kujenga mahusiano na majirani zao kuanzia ngazi ya chini kupitia michezo. Hii ni strategy nzuri zaidi ya ile ya kutangaziana ubabe..
 
Kama mshika mkia amepata mil 75 hii kufuru ya pesa maana kanda yetu hii mshindi anapata 30m...nimesikia tff wanafikiria kujitoa cecafa wajiunge kule kwanza kiwango pili...mpunga!!dooo....kazi ipoo
 
Back
Top Bottom