MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
WAMILIKI WA VIWANDA VYA NGUO WANAMSHINIKIZA WAZIRI WA FEDHA DR MGIMWA AFUTE VAT KWA BIDHAA ZAO KWA KISINGIZIO CHA KULINDA VIWANDA VYA NDANI. HILI LIKIFANIKIWA LITAPUNGUZA MAPATO YA SERIKALI, NA BAYA ZAIDI TANZANIA ITAINGIA MGOGORO MKUBWA NA NCHI ZINGINE ZA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI. SHINIKIZO NI KUBWA NA LINAONGOZWA NA MBUNGE WA SINGIDA MJINI, MOHAMED DEWJI AKIWATUMIA WABUNGE KADHAA KULE DODOMA.
MY TAKE: kwa nini wafanyabiashara wakubwa hawataki kabisa kulipa kodi? nini maana yake? hata serikali ikipunguza kodi wao wanataka wasilipe kabisa.... huu ni uchumi wa dunia ipi?
MY TAKE: kwa nini wafanyabiashara wakubwa hawataki kabisa kulipa kodi? nini maana yake? hata serikali ikipunguza kodi wao wanataka wasilipe kabisa.... huu ni uchumi wa dunia ipi?