Wamiliki wa Mabasi na mafuso hutoa wapi hela?

Wamiliki wa Mabasi na mafuso hutoa wapi hela?

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,606
Imagine, kuna haya mabasi

Ester Luxury
Tilisho
Happy Nation
Sauli
New Force
Arusha Express
Shabiby
Abood
Machame Express
Kapricon
Kilimanjaro Express
Dar Express
Zube
Saratoga
Mgamba
Kimbinyiko
Abc
Ally's
Saibaba
etc etc

Malori ndiyo usiseme.

Unakuta mtu ana basi 10, 20 au 60. Basi moja bei yake ni Milion 300, 400 hadi 500. Jamaa wanapata wapi hela aisee?
 
Imagine, kuna haya mabasi

ESTER LUXURY
TILISHO
HAPPY NATION
SAULI
NEW FORCE
ARUSHA EXPRESS
SHABIBY
ABOOD
MACHAME EXPRESS
KAPRICON
KILIMANJARO EXPRESS
DAR EXPRESS
ZUBE
SARATOGA
MGAMBA
KIMBINYIKO
ABC
ALLY'S



SAIBABA

etc etc


Malori ndo usiseme.


Unakuta mtu ana basi 10, 20 au 60!

Basi moja bei yake ni Milion 300, 400 hadi 500.

Jamaa wanapata wapi hela aisee?
Kama yule Mbunge wa Makambako nasikia ana Malori kama 300 hivi
 
Kabla hawajawa na hayo mabasi wanamiliki "real estate" za maana sehemu tofauti.

Ukiwa na Plot 1 tu pale k.koo msimbazi, una uwezo wa kukopa Bank hela ya kufata Yutong zako hata 10 na ukapewa.

Matajiri hao, sifa yao kuu ni 1 "wanakopesheka" Muogope mtu anaeweza kukopa 1B na akapewa muogope sana huyo mtu.

Mpaka upewe kuna vigezo vingi taasisi za ukopeshaji huziangalia ikiwemo mali zisizo hamishika.

Wewe unayaona mabus na malori lakini Hizo taasisi wanajua mali za thamani zaidi ya hayo ma bus na malori.

Ungezijua hizo mali wanazomiliki mpaka wakawa na sifa ya kukopesheka hivyo ndio Ungeandika Thread GAZETI na ???????? ungeanza nazo mpka unamaliza nazo.
 
Kabla hawajawa na hayo mabasi wanamiliki "real estate" za maana sehemu tofauti.

Ukiwa na Plot 1 tu pale k.koo msimbazi, una uwezo wa kukopa Bank hela ya kufata Yutong zako hata 10 na ukapewa.

Matajiri hao, sifa yao kuu ni 1 "wanakopesheka" Muogope mtu anaeweza kukopa 1B na akapewa muogope sana huyo mtu.

Mpaka upewe kuna vigezo vingi taasisi za ukopeshaji huziangalia ikiwemo mali zisizo hamishika.

Wewe unayaona mabus na malori lakini Hizo taasisi wanajua mali za thamani zaidi ya hayo ma bus na malori.

Ungezijua hizo mali wanazomiliki mpaka wakawa na sifa ya kukopesheka hivyo ndio Ungeandika Thread GAZETI na ???????? ungeanza nazo mpka unamaliza nazo.
Mkuu unacho sema ni sahihi kabisa,Matajiri wengi ni Mikopo na bila hiyo huwezi kuendelea financially but tunaanzaje sasa kupata hata ghorofa 1 pale Kariakoo.
 
Kuna mtu namfahamu Ana Shimo pale mererani, shimo lake lina uwezo wa kutema vyombo kila mwezi, makinikia ndio usiseme.

Huyu akisema anakopa Ana uwezo wa kukopa kununua hayo mabus yote uloyataja na chenchi ikabaki.

Kuna watu wanamiliki Assets ambazo ndio maisha yao, Nyingi zisizoonekana.

Mabus na Malori ni vinyongeza tu...
 
Kabla hawajawa na hayo mabasi wanamiliki "real estate" za maana sehemu tofauti.

Ukiwa na Plot 1 tu pale k.koo msimbazi, una uwezo wa kukopa Bank hela ya kufata Yutong zako hata 10 na ukapewa.

Matajiri hao, sifa yao kuu ni 1 "wanakopesheka" Muogope mtu anaeweza kukopa 1B na akapewa muogope sana huyo mtu.

Mpaka upewe kuna vigezo vingi taasisi za ukopeshaji huziangalia ikiwemo mali zisizo hamishika.

Wewe unayaona mabus na malori lakini Hizo taasisi wanajua mali za thamani zaidi ya hayo ma bus na malori.

Ungezijua hizo mali wanazomiliki mpaka wakawa na sifa ya kukopesheka hivyo ndio Ungeandika Thread GAZETI na ???????? ungeanza nazo mpka unamaliza nazo.
Hiyo plot Kkoo kaipataje?
 
Kabla hawajawa na hayo mabasi wanamiliki "real estate" za maana sehemu tofauti.

Ukiwa na Plot 1 tu pale k.koo msimbazi, una uwezo wa kukopa Bank hela ya kufata Yutong zako hata 10 na ukapewa...
Sio Hilo tuu pia ni wakulima hodari Sana Wana matrector,combined harvester,nk Wana magodown ya Michele na haharagwe ya njano acha tuu aisee
 
Mkuu unacho sema ni sahihi kabisa,Matajiri wengi ni Mikopo na bila hiyo huwezi kuendelea financially but tunaanzaje sasa kupata hata ghorofa 1 pale Kariakoo.
Ukiwaza ghorofa bado umeenda mbali, sasa hivi mnaambiwa nunueni viwanja huko chanika mnaona n maporini.

Utajiri upo katika ARDHI miliki ARDHI kadri uwezavyo siku 1 itakuheshimisha.

Msidharau viwanja vinavyouzwa kama hela unayo sasa hivi, tupia Ardhini. it will pay you back siku 1.

utakua ktk historia za matajiri hii nchi,Ardhi haijawahi ni dissapoint.
 
Back
Top Bottom